matokeo ya uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Kesi za kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 Zanzibar, zakutana na kikwazo Mahakamani

    https://www.youtube.com/watch?v=VvgEZ6hch6A Kwa mara nyingine tena, kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar wa Oktoba 29 mwaka jana zimeambatana na kikwazo baada ya upande wa Jamhuri kuhoji uhalali wa viapo vilivyoandaliwa katika kesi hiyo. Hoja hiyo imewasilishwa mbele ya Jaji Salma...
  2. Q

    US: Matokeo ya uchaguzi wa Tanzania na Uganda yatazorotesha Usalama kwenye Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati

    TAREHE 23 JANUARI, 2026. WASHINGTON—U.S. Seneta Jim Risch (R-Idaho), Mwenyekiti wa Kamati ya Seneti ya Mahusiano ya Kigeni. Uchaguzi wa Uganda - kama ulivyokuwa uchaguzi wa hivi majuzi nchini Tanzania - ulikuwa uchaguzi wa hovyo usio na maana, ulioandaliwa ili kuhalalisha muhula wa saba wa...
  3. Its Tesha

    Mchinjita: Hakuna matokeo ya uchaguzi kwenye gazeti la serikali

    Makamu Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo bara, Isihaka Mchinjita, amehoji ukimya wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kushindwa kuchapisha matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwenye Gazeti la Serikali, akidai kuwa muda wa kisheria wa kufanya hivyo umeshafika ukomo. Akizungumza jana...
  4. Just Pray

    PostGE2025 Mchinjita: Hakuna matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kwenye Gazeti la Serikali

    Makamu Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo bara, Isihaka Mchinjita, amehoji ukimya wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kushindwa kuchapisha matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwenye Gazeti la Serikali, akidai kuwa muda wa kisheria wa kufanya hivyo umeshafika ukomo. Akizungumza...
  5. Idugunde

    PostGE2025 Watanzania tuikatae tume iliyoundwa kuchunguza vifo vya ndugu zetu. Tusikubali matokeo yake kama tulivyokataa matokeo ya uchaguzi 2025

    Bila hata aibu anasimama na kujitapa nilipata 98% sababu CHADEMA ya Lissu haikushiriki uchaguzi! Hata kama madaraka ya uraisi ni matamu ndio kwa uongo huu! Watu hawakujitokeza kabisa kupiga kula hata Mungu shahidi hiyo mil 31 ya wapiga kura inatoka wapi? Haya watu wameuwawa kisa tu wameimba...
  6. N

    PostGE2025 Swali; Je, ACT Wazalendo Zanzibar kufungua kesi kupiga matokeo ya uchaguzi 2025 ni mkakati maalum kutoka nje ya chama?

    Chama hiki kilidai kufungua kesi kupiga matokeo ya uchaguzi katika majimbo 25 ya uwakilishi Zanzibar na kikitarajiwa kupiga pia yale ya Ubunge. Huku pia kikiweka pose kuingia kwenye kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar. Swali, je ni mpango maalum baina yao na kundi la Gasom & Zikamziki...
  7. Waufukweni

    PostGE2025 Ezekiah Wenje: Waliogombea Urais Tanzania hawakupinga ushindi wa Samia

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mbunge wa Nyamagana, Ezekiah Wenje, amesema kuwa uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Tanzania uliendeshwa kwa utulivu mkubwa katika maeneo mengi, akibainisha kuwa wagombea wote 17 wa Urais hawakuwahi kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais ambapo Dkt. Samia Suluhu...
  8. DuaZaMama

    PostGE2025 Serikali ya Tanzania yashutumiwa kupanga matokeo ya uchaguzi kabla ya upigaji kura

    Maseneta wawili wa Marekani, Jim Risch na Jeanne Shaheen, wametoa shutuma kali dhidi ya serikali ya Tanzania wakidai kuwa matokeo ya uchaguzi wa Oktoba 29 yalipangwa kabla ya wananchi kupiga kura. Katika taarifa yao ya pamoja, viongozi hao wa Kamati ya Mahusiano ya Kigeni ya Seneti wamesema...
  9. Abraham Lincolnn

    Waliotekwa hawajapatikana, Watanzania wenzetu wameuawa, Tume imetangaza matokeo ya uchaguzi usio wa haki, Unathubutuje kusema tusonge mbele?

    Damu za watanzania wenzetu zimemwagika, Mpaka muda huu tunazungumza hatujui Polepole yu wapi, Mpaka muda huu hatujui waliohusika na mauaji na utekaji wa mamia ya watanzania wenzetu wamefikishwa wapi na hatua gani za kisheria zimechukuliwa, Mpaka muda huu viongozi wa vyama vya upinzani, Tundu...
  10. B

    GE2025 MaRais watuma salaam za pongezi kwa Samia Suluhu Hassan Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2025

    01 November 2025 Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2025: maRais watuma salaam za pongezi kwa Samia Suluhu Hassan Orodha ya marais wanaotuma pongezi kwa Samia Hassan : "Kwa niaba ya Watu, Serikali ya yangu na Mimi mwenyewe nampongeza ndugu yangu, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa ushindi mnono wa...
  11. B

    GE2025 Kombo - Tutatangaza matokeo ya uchaguzi jumamosi November 1, 2025

    31 October 2025 Waziri KOMBO - TUTATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI JUMAMOSI NOVEMBER 1, 2025 https://m.youtube.com/watch?v=0_yiJMnuPYA Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Mahmoud Kombo Thabit ametetea jinsi serikali yake inavyoshughulikia machafuko ya baada ya uchaguzi na kuzimwa kwa mtandao nchi...
  12. U

    INEC - Tanzania: Nani kampigia kura Samia Suluhu? Nani kapiga kura? Acheni ujinga huo mara moja wa kutangaza hayo mnayoita "matokeo ya uchaguzi"

    Wenye nchi (wananchi) hawakwenda wala kujitokeza kupiga kura kwa sababu tulisema toka mwanzo NO REFORMS NO ELECTION na mlitubeza na kudharau... Sasa hayo mnayoyaita "matokeo ya kura za udiwani, ubunge na Rais mmeyatoa wapi...? Bado mnaamini kuwa mtaendelea kututawala kwa uongo na udanganyifu...
  13. Roving Journalist

    GE2025 Mkoa wa Morogoro: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

    Wakuu, Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Morogoro. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka. Mkoa wa Morogoro una una jumla ya majimbo ya uchaguzi (11) ambayo ni Jimbo la Kilosa Jimbo la Mikumi...
  14. The Father of All

    Nini kinaendelea Malawi mbona hawatangazi matokeo ya uchaguzi?

    Malawi na Zambia zimejijengea utamaduni wa uwajibikaji wa kufanya uchaguzi wa haki, wazi, na unaokidhi viwango tofauti na Bongolalaland ambayo hufanya uchafuzi na kuuita uchaguzi. Baada ya kura kupigwa, ni kwanini hawatangazi au nao wanaanza kuharibikiwa kama sisi?
  15. Ponjoro wa Kinondoni

    Hakuna kampuni ya kubeti matokeo ya uchaguzi?

    Kama ipo nijulisheni kuna chimbo lina odds za uhakika mwezi october. Nataka kusuka mkeka niweke milioni 200. Mkeka nitakaosuka utakuwa hivi Rais - Mama Abdul wa Dp World Mbunge Moro - Abood Mbunge Gairo - Shabiby Mbunge Arusha - Makonda Mbunge Iramba - Mwigulu Mbunge Mtwara mjini - Double...
  16. Waufukweni

    GE2025 Michango mikubwa ya Chama kimoja inaweza kuamua matokeo ya Uchaguzi Mkuu?

    Wakuu! Harambee za kisiasa zimekuwa sehemu ya kawaida katika kampeni, na Tanzania hatuko mbali na hilo. Hofu yangu michango mikubwa, hasa inapokusanywa na chama kimoja, huibua mjadala iwapo nguvu ya fedha inaweza kushinda hoja na sera. CCM, kwa mfano, jana Agosti 12 ilifanya harambee na...
  17. Waufukweni

    Alphonce Temba, afichua: Nilimshauri Kabila wazime Mtandao wakati wa Matokeo ya Uchaguzi

    Alphonce Temba, aliyekuwa mtia nia ya Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia CCM, amefichua kuwa aliwahi kushika nafasi ya mshauri wa juu wa viongozi wawili wa Afrika: Rais wa zamani wa Zambia, Mheshimiwa Michael Sata, na Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mheshimiwa Joseph...
  18. Tabutupu

    GE2025 Kwa Matokeo haya ya uchaguzi wa CCM, Ni dhahiri hakuna Jimbo la Bure kwa Upinzani

    Maneno mengi yalisambaa kwamba CCM watawapa upinzani kama Chauma au ACT Wazalendo baadhi ya majimbo. Hata hivyo, kutokana na jinsi uchaguzi wa ndani wa chama ulivyofanyika, imekuwa wazi kwamba uvumi huu hauna ukweli wowote. Mchakato huo ulikuwa na ushindani mkali na ulipelekea kuchaguliwa kwa...
  19. JanguKamaJangu

    Tujikumbushe Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 yalivyokuwa

    Matokeo Ya Uchaguzi Wa Rais, 2020: Dkt. Magufuli John Pombe Joseph - Ccm … 12,516,252 Mahona Leopold Lucas - Nra ……………… 80,787 Shibuda John Paul - Ada-tadea ………… 33,086 Muttamwega Bhatt Mgaywa - Sau ……… 14,922 Cecilia Augustino Mmanga - Demokrasia Makini...
  20. K

    GE2025 Wagombea udiwani wasusia kusaini matokeo ya Uchaguzi Mkuranga idadi ya wajumbe na Kura ni tofauti

    Kufatia malalamiko na clip za video zilizokuwa zinatembea mitandaoni nchi nzima siku ya Jana. Clip za video zilizokuwa zinaonyesha wakinamama wa wanaccm wa wilaya ya mkuranga. wakiomba Masada na kulalamikia kukamata Kura feki wilayani humo katika mchakato wa Uchaguzi wa udiwani viti maalumu...
Back
Top Bottom