maslahi ya nchi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya: Si wote Wanaokomenti mitandaoni wakionesha kuumia ni Wana-CHADEMA, wanapigania maslahi ya nchi

    Mchora Katuni mkongwe Masoud Kipanya kupitia chaneli ya Kipanya Tell A vision akielezea mtazamo wake kuhusu tabia ya watu wanaotoa maoni kupitia mitandao mbalimbali.
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Vyombo vya habari vya nje vinamchango nchini lakini pia tunatambua vinatetea maslahi ya nchi zao

    Wakati anazungumza kupitia kipindi cha Jana na Leo cha Wasafi FM Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa amesema vyombo vya nje ya nchi vipo katika kutete maslahi ya nchi zao Soma Pia: Msigwa: Ukiona hadi tumefika hatua...
  3. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Iddi Amin Mama, Kubali Yaishe. Maslahi Ya Nchi Ni Makubwa Kuliko Maslahi Yako Binafsi!

    Iddi Amin Mama, inawezekana you’re in deep denial, lakini ukweli ni kwamba hakuna tena uwezekano wa wewe kuendelea kuongoza hii nchi bila kuzidi kuharibu umoja wake wa kitaifa! Ukubali au usikubali, huna washauri wazuri. Washauri ulionao ni wale wanaokuambia kile wanachodhani unataka kusikia...
  4. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Qatar Kuimarisha Ushirikiano kwenye maeneo ya kimkakati

    Tanzania na Qatar kuimarisha ushirikiano katika maeneo ya kimkakati Tanzania na Qatar zinakusudia kuimarisha ushirikiano katika maeneo muhimu, ili kukuza biashara na uwekezaji kwa misingi ya amani, usalama, na maendeleo endelevu ya wananchi wa pande zote mbili. Waziri wa Mambo ya Nje na...
  5. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Makataba wa DP world ni wa kujipendekeza tu sio wenye maslahi ya nchi yetu

    Ule mkataba wa DP world ni wa kujipendekeza tu sio wenye maslahi ya nchi yetu. Nilisikia DP world wanatumia mashine kushusha mizigo haraka na kwamba sisi tunapakua taratibu sana kwanini na sisi tusizinunue hizo mashine ile tupakue mizigo haraka kama DP world ? Samia amewapa bandari yetu kwa...
  6. Influenza

    JamiiForums Tanzania TANESCO, Songas zamaliza Mkataba wa Uzalishaji Umeme. Serikali yagoma kuendelea na mkataba kulinda maslahi ya nchi

    KUMALIZIKA KWA MKATABA WA UNUNUZI WA UMEME KATI YA TANESCO NA KAMPUNI YA UZALISHAJI UMEME KWA NJIA YA GESI ASILIA YA SONGAS ljumaa 01 Novemba, 2024 Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kuufahamisha umma kuhusu kumalizika kwa mkataba wa ununuzi wa umeme kutoka Kampuni ya uzalishaji...
Back
Top Bottom