Mashabiki wa Simba wajitafakari wasiwe mashabiki oya oya wanaodanganywa.
Leo wanamlaumu Mangungu, Siku ya mkutano mkuu wa uchaguzi aliwapa tu ubwabwa na akamleta Manzoki aongee, basi wenyewe wakampa kura zote za ndiyooo.
Na tuliwaasa kuhusu hili jambo na propaganda zote.
Leo wanasema Yanga...