Arusha. Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Mageuzi ya Kimkakati ya Mazingira Endelevu Tanzania katika kilele cha Siku ya Mazingira Duniani (WED) ambapo kitaifa itafanyika jijini Dodoma, Juni 5, 2026.
Akizungumza katika uzinduzi wa usafi wa Mazingira kuelekea...
Muswada mpya wa vyama vyote viwili (bipartisan) unalenga kuielekeza serikali ya Rais Donald Trump kufanya mageuzi makubwa katika uhusiano wa Marekani na Tanzania, kufuatia msako wa kikatili uliotokea nchini humo baada ya uchaguzi mkuu uliopita uliogubikwa na utata.
Muswada huo uliowasilishwa na...
Ndugu zangu Watanzania,
Sisi kama Taifa hakuna kitu ambacho Mmarekani anaweza kutufundisha ama kutuelekeza juu ya demokrasia ama haki za Binadamu. Hakuna anachoweza kutufundisha katika Jambo hilo. Hakuna anachoweza kutuambia tuige kutoka kwake.
Mmarekani ama Marekani ndio Taifa linaloongoza...
Huyu ni Senator Ted Cruz kutoka Marekani anazungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge la Marekani kuhusu uteuzi wa Balozi wa Marekani nchini Tanzania, William Trachman.
Senator Cruz anasema kuwa serikali ya Tanzania imekuwa ikifanya mashambulizi dhidi ya uhuru wa dini, hasa kuwatishia Wakristo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.