marekani na china

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mngony

    Marekani kuishambulia Venezuela baada Maduro kukutana na maafisa kutoka China ni Ujumbe kuwa sio China haiwezi kumlinda mtu dhidi ya Marekani

    Uvamizi wa Jeshi la Marekani nchini Venezuela na kutekwa kwa Rais wa Nchi hiyo umetoka masaa matano tu tangu Rais Maduro akutane na maafisa kutoka China. Katika masula ya siasa za kikanda na kimataifa huu ni Ujumbe mzito kuwa sio China wala Urusi ambaye anaweza akakulinda dhidi ya Marekani na...
  2. X

    Tanzania, Marekani na China zinatengeneza 44% ya uchumi wa dunia

  3. R

    Marekani na China Wafanya Mazungumzo ya awali Kuhusu uendeshwaji wa TikTok

    Marekani imetangaza makubaliano ya awali na China kuhusu kutatua mgogoro wa TikTok, ambapo yamependekeza kwamba umiliki wa programu/Mtandao huo inayomilikiwa na Wachina upewe kampuni zitakazodhibitiwa na Marekani Waziri wa Fedha wa Marekani, Scott Bessent, alitangaza makubaliano hayo baada ya...
  4. Mi mi

    Marekani na China zafikia makubaliano ya kibiashara baada ya mvutano wa muda mrefu

    Ikulu ya White House imetoa taarifa ikisema kuwa Marekani imetangaza makubaliano ya kibiashara na China baada ya mazungumzo kati ya ujumbe wa Marekani na China kufanyika nchini Uswisi siku ya Jumapili. Hata hivyo, haijawa wazi mara moja kama makubaliano hayo yamefikiwa rasmi. Waziri wa Fedha...
  5. X

    Kimeumana huko Marekani kati ya White House na Amazon. Chanzo ni vita vya ushuru kati ya Marekani na China

    Baada ya Trump kupandisha ushuru kwa bidhaa za mataifa mbalimbali duniani ikiwemo China sasa Wamarekani wameanza kujionea kupanda kwa gharama za bidhaa. Amazon moja ya wauzaji wakubwa wa bidhaa za kutoka China wamekuja na hii idea ili wajisafishe mbele ya wateja wao wasionekane wabaya lakini...
  6. I

    Vita ya Kiuchumi ya Marekani na China 2025 – Na Afrika Ndio Inalipia Gharama Kwa Machozi

    UZI: Vita ya Kiuchumi ya Marekani na China 2025 – Na Afrika Ndio Inalipia Gharama Kwa Machozi 1. Mwaka 2025, si vita vya risasi—ni vita vya sarafu, teknolojia, na nishati. Na sasa moto wake unafika Afrika. Marekani na China wameingia vitani kiuchumi. Ushuru wa juu, vizuizi vya teknolojia, na...
  7. ELI COHEN

    Vita ya Trump na Xi Jinping kuhusu ushuru bado mbichi. Kila mtu kashika mpini, nani atashinda?

    Marekani anasema sera ya tarrifs inahimiza katika kumfaidisha zaidi China kuliko yeye kwa muda mrefu. China anasema hatua ya Marekani iliyochukuwa ni ya kionevu na wako tayari kushindana nae hadi kieleweke. Kinachowapa kiburi china ni kuwa wana gharama ndogo za utengenezaji wa baadhi ya bidhaa...
  8. T

    Trump ameruhusu kusitishwa kwa siku 90 kwa ushuru kwa nchi nyingi, ila ameongeza ushuru kwa bidhaa za China hadi 125%

    Bei za mafuta zilipanda Jumatano, zikirejea kutoka viwango vya chini vya miaka minne vilivyoshuhudiwa mapema katika kipindi hicho, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutangaza kuwa atazidisha tena ushuru dhidi ya China lakini atasitisha ongezeko la ushuru alilotangaza wiki iliyopita kwa nchi...
  9. SYLLOGIST!

    SI KWELI Wafanyakazi wa Marekani wakifanya kazi katika viwanda vilivyorejeshwa na tarrifs

    Wakuu, Nimekutana na uzi huu International Forum, unaodai wafanyakazi wa marekani wakifanya kazi katika viwanda vilivyorejeshwa baada ya Tarrifs za Rais Trump. Je kuna ukweli gani? Video ni ya kweli? Pia, je, ni kweli kazi hizo zinazoonekana videoni zimerejeshwa kama effects za Tarrifs? Saidia.
Back
Top Bottom