Naomba niseme ukweli kwamba ukitembea vyuo vikubwa Duniani utabaini Ofisi za waalimu ( Tutorial/Dr/Prof) NI eneo ambalo mnaweza mkakaa nakufanya majadiliano mkiwa na facilities zote.
For the first time nimefika university of Dar es salaam kumwona rafiki yangu ambaye nilisoma naye Ila Kwa sasa...
Tatizo la Law School si dogo ambalo ati kila Tom, Dick au Harry anaweza kuwa na ufumbuzi au ushauri.
Kwa sampuli hii:
1. Profesa Cyriacus Binamungu (Mzumbe): anasema kuna shida kwa walimu katika taasisi hiyo (LST).
“Wanafunzi wanaandaliwa vizuri (vyuoni) isipokuwa kutakuwa na shida LST...
"SIRI YA ELIMU ILIYOFANYA WAKOLONI WAKAFANIKIWA NA WAKATUACHIA ELIMU INAYOTUFANYA KUENDELEA KUWA WATUMWA"
ELIMU YA UJUZI BINAFSI, USTADI, UFUNDI NA UBUNIFU NI MAJIBU YA KUWA NA AJIRA, UKUAJI WA UCHUMI, BIASHARA NA MAENDELEO YA VIWANDA.
Unaweza Ukajiuliza, Ilikuwaje wakati wa wakoloni kulikuwa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, amezungumza na kusaini kitabu cha Mtoto wa Kitanzania Ada Marie Kemilembe (9) mkazi wa Columbia, Maryland, alipokutana nae Jijini Washington DC Nchini Marekani.
Taarifa: Ikulu Tanzania
Asikudanganye Mtu ukizaliwa au kuishi...
Watanzania wamepiga kelele we mara wakateuliwa maprofesa kushika Wizara ya Elimu na wakatueleza tutulie mabadiliko yako yanafanyiwa kazi.
Niseme kitu kimoja " Sijawahi kuwaamini maprofesa wetu", nahisi watastup[iga na kitu kizito.
Nimefuatilia michango ya maprofesa wetu mpaka juzijuzi hapa...
Wanachuo wengi wanasoma kwa kutegemea ufadhili wa kutoka sehemu mbalimbali, inawezakuwa kwa: serikali, shirika, chuo, familia n.k
Gharama za kusoma degree, na masters sio kubwa sana, ndio maana hata ufadhili wake hauna changamoto sana.
Ukija upande wa PhD , gharama zinakuwa kubwa sana na wengi...
Amesikika Profesa Manyele na ripoti ya vinyesi vya ng'ombe.
Kama vile haitoshi inasemekana Profesa Mukandara naye yuko njiani kudai katiba mpya isubiri tu hadi baada ya 2025.
Hawa si wa mwanzo.
Wapo waliojinasibu kuokotwa walikotoka. Wapo waliotuaminisha kusubiria Noah zetu tokea kwenye...
Ni kweli tuna unapungufu wa wanataaluma katika vyuo vyetu ila haijatokea kwa bahati mbaya. Katika vyuo vyetu hivi kama huna Surname inayofanania ni na Profesa fulani kupata nafasi ya ukufunzi hiyo ni ndoto. Katika sehemu ambazo kwa kiasi kikubwa zimejaa undugu na kujuana kwa kiasi kikubwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.