mapenzi na ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Intelligent businessman

    Ni jambo gani mchumba wako alifanya, ukajua huwezi kumuoa au kuolewa naye

    Mahusiano ni jambo zuri, ila muda mwingine ni tabu tupu mnapo kutana watu wawili wenye mitazamo, hisia, malengo au mienendo tofauti. Kuna mambo ikitokea mwenza wako kafanya ni ngumu kuya kubali, na ndio mwisho wa mahusiano. Je ni jambo gani mchumba ako ali fanya ukasema this is it, hakuna cha...
  2. Loading failed

    Nikama soko la mahusiano, mapenzi na ndoa huko duniani limepungua sana

    Ndugu. Kataa ndoa kuna namna kama wameshinda hii vita pamoja na ile vita ya single maza. Huko duniani kila nikiangaza huku na huko sioni tena pear pear zikiongozana na kwenye maboma huko kusikia mtu ana oa na kuolewa ni mtihani sana. Wanawake wapo wenyewe wenyewe huku wanaume na wao wapo...
  3. A

    Mpenzi wangu alilazimishwa kuachana na mpenzi wake sasa anafululiza kuota wamerudiana. Nilitaka kupeleka mahari lakini nataka kughairi

    Ndugu zangu naombeni ushauri Mimi ni baba wa mtoto mmoja na nilioa mke wangu mwaka 2023. Kabla ya kuoa mke wangu alikuwa kwenye mausiano na kijana mmoja ambaye kwa maelezo ya mke wangu kijana huyo ndiye aliyemtoa usichana wake na walikaa kwenye mausiano kitu cha miaka 5 lakini kwa bahati mbaya...
  4. ELI COHEN

    Mama zetu waliingia kwenye ndoa kama wasaidizi wa baba zetu ila dada zetu wanaingia kwenye ndoa na fantasies za Princess & Prince!

    Ni kwa kiasi gani mwanaume afanye ili mwanamke aoene hata inatosha amid dunia ilivyokuwa chungu, haijawahi kutosha kwa mwanamke, anaishi huku akiisemea nafsi yake kuwa kuna "kuna cha ziada zaidi, kuna cha ziada zaidi". Atleast mama zetu walipata mawazo haya ila walijipiga kofi ili...
  5. GANJIBHAAI

    Ukiona Unabadilisha Sana Bulb Jipe Muda wa Kujitathmini Wewe “Holder”

    Naomba nianze moja kwa moja, tuchukulie mfano wa kwenye mahusiano ya kimapenzi, ukiona unabadilisha sana partners mara kwa mara ndani ya muda mfupi mfupi jipe muda wa kujitathmini wewe mhusika (Holder) Binadamu kwa hulka yetu huwa tunajiona tuko sahihi wakati wote kiasi cha kutaka wanadamu...
  6. M

    Ukimwezesha Mwanamke wako unajichimbia kaburi lako mwenyewe

    Mapenzi kuvunjika ni sehemu ya kawaida kabisa kwa maisha ya sasa lakini kuna jambo la kuzingatia hapa. Mapenzi huwa yanauma sana pale ambapo mwenza wako anaondoka anakuacha ghafla ukiwa mpweke kipindi kigumu sana kwako kama vile anakuacha umepauka, unanuka jasho, umefubaa, unavaa nguo zimechakaa...
  7. sergio 5

    Mahusiano ya mapenzi na ndoa huitaji mtu mmoja mjinga, two smart people they can’t ever fall in love

    Hili jambo nmekuwa nikilichunguza Kwa mda sana Hadi nimefikia hitimisho ukweli kabisa watu wawili hawano jielewa na kujitambua they can't fall in love Mapenzi HUITAJI mjinga mmoja na mwenye akili mmoja so tafuta mjinga wako au wewe kuwa mjinga ili upate mwenye akili Ni Hilo tu nawafundisha...
  8. Right Marker

    Ukila na kipofu usimshike mkono!

    Mhadhara - 46: Upo msemo ambao unasema; "Ukila na kipofu usimshike mkono", lakini pia "Usimnyapie kuku kwenye majani makavu". Kama umebahatika kujipenyeza kwenye ndoa ya mtu au mahusiano ya mtu kwasababu ya faida zako basi punguza mbwembwe, la sivyo utakatwa mapanga mchana kweupeee au utupiwe...
  9. Corluka Neven

    Mshahara wa Dhambi; Nimepata ndoa lakini mtoto wangu akageuka mlemavu!

    Huyu kaka ni jirani yangu, wakati namaliza chuo ndiyo walihamia hapa karibu na kwetu wakiwa na nyumba kubwa kuliko sisi. Mwanzo mke wake alikuwa ni rafiki yangu na katika kuongea niligundua kuwa kumbe wana miaka 7 kwenye ndoa yao lakini hawana mtoto. Nikimuangalia kaka ana kazi nzuri TRA na...
  10. Hey There

    Nipo tayari kumuoa ila yeye hayupo tayari, mnanishauri nini?

    Wadau Saluti Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100% Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia...
  11. D

    Kuna kitu hakipo sawa hapa!

    Sababu ni ipi? Je, ✓ ni bwana harusi? ✓ au ni bibi harusi? ✓ au ni best friend? ✓ au photographer?
  12. Analyse

    Ni kitu gani kilikufanya utambue uliyenae kwenye mahusiano sio mtu sahihi kwako?

    Kwa upande wangu kuna kipindi nilisafiri kwa siku kadhaa, nikiwa huko nikapigiwa simu kwamba wezi wamevunja dirisha ghetto kwangu na kuniibia. Ikabidi nikatishe shughuli zilizonipeleka kule na kuamua kurudi niangalie mazingira. Hawakuchukua vitu vyote, ila vilivyobaki navyo viliharibika...
  13. ndege JOHN

    Nini kinapelekea watu kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na ndugu zao wa damu?

    Mazoea hayo ni tatizo la akili, au ikifika umri wanaanza hiyo michezo au kimila hio inakaaje? Kisheria ni kosa ndugu kutoka kimapenzi, ila kesi hizi zinaweza kuwa ni nyingi.
  14. Stroke

    Watoto wa nje wanatesa mno. Imagine mtu kumuona mwanae saa sita usiku

    Nilikua nimekaa mahali mida ilikua imekwenda kidogo. Sasa akaja jamaa akapaki hapo. Zikapita dakika kumi akatoka mwanamke na mtoto mdogo wa kiume. Akaingia ndani ya usafiri wa jamaa wakaongea like 30 mins. Then wakaagana. Sasa mtu unapata tabu kuona mwanao mida ya wachawi mbaya sana.
  15. Kaka yake shetani

    Jiji la Dar es salaam kufaminiwa umetaka mwenyewe tofauti na mikoani

    Huku mikoani ni rahisi sana kufumaniana kwa mlio kwenye ndoa au mahusiano sababu ya ufinyu wa maeneo mfano gest, bar, sehemu za starehe nk. Mikoani ukichepuka eneo uliopo ni rahisi kujulikana ukilinganisha Dar yaani umechepukia Kimara Bonyokwa wewe unakaa Buza Kilakala. Yaani tuliopo mkoani...
  16. Mshamba wa kusini

    Mwanamke jifunze kusema asante unapofanyiwa kitu na mwanaume wako

    Yani wanawake wengine sijui wapoje yani mwanaume anajipinda anakufanyia kitu Lakini kusema asante tu ni shida. Hii kitu inapunguza sana morali ya kuwafanyie vitu Vizuri maana mtu hana shukuraani ya nini umsumbukie? Na leo sitoi hela ya SIKUKUU sasa jitu zima halina Shukrani. *****.
  17. S

    Mwanaume Unapotaka kuoa zingatia hizi red flags

    1. Amechora tattoos. Red flag. 2. Ametoboa pua red flag. 3. Anavaa shanga 3+ kiunoni red flag. 4. Anakunywa pombe red flag. 5. Mpenda shughuli/vigodoro ni redu flag. 6. Haendi msikitni Wala kanisani red flag. 7. Ni muumuni wa twerking red flag. 8. Ana marafiki wa kiume wengi Red flag. 9. Round...
  18. KENZY

    Ujumbe wa Leo: Usiingie kwenye mahusiano kwa sababu ya imani ya mtu, kila kitu kipe nafasi yake kwa wakati wake

    1. Usioe au kuolewa na mtu kisa anahofu ya Mungu!, kwasababu swala la imani ni swala la uelewa na muda wowote mtu anaweza kubadili mawazo,ama kuamini tofauti na alivyokuwa akiamini awali!. kwa ufupi ni kwamba usaliti hutoka kwenye wema. Tafuta mtu muelewa mwenye upeo wakuweza kujua thamani yako...
  19. Pdidy

    Usije kuoa/kuolewa kwasababu ya mambo haya, sauti inatosha huko nyuma?

    Don't Marry because of SEX Don't Marry because u are getting OLD Don't Marry because u are of AGE Don't Marry because u are LONELY Don't Marry because u need someone to support you FINANCIALLY Don't Marry because u got PREGNANT for him Don't Marry because u don't want to LOSE the PERSON, Don't...
  20. Prakatatumba abaabaabaa

    Mkioa/Kuolewa mtulie kwenye ndoa

    Copy and paste kutoka kwenye page ya HIV living postive instagram. "Naitwa XXX naishi iringa naomba msaada napitia kipindi kigumu sana sijui nianzie wapi nina stress nyingi sana nimeolewa na nimeishi na mtu wangu kwa miaka miwili sasa, tulipima pamoja na tulikua negative 2022, Mwaka jana...
Back
Top Bottom