mangungu

Māngungu Mission was the second mission station established in New Zealand by the Wesleyan Missionary Society. Located near Horeke, in the Hokianga Harbour, it was founded in 1828 by the missionaries John Hobbs and James Stack after the first WMS mission station in the country had been sacked the previous year. Māngungu Mission was abandoned in 1855 when Hobbs, the sole missionary at the site, relocated to Auckland. The residence that Hobbs built and lived in at the mission has been preserved by Heritage New Zealand and is now a museum.

View More On Wikipedia.org
  1. Ushauri kwa mzee wangu Mangungu Zanzibar njoo na mabaunsa hawa watu hawafai

    Ushauri wangu ni huu🤝🤝🤝🤝🤝🤝👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
  2. Namshauri Mangungu wa Simba astaafu kwasababu anaweza kuendelea kuvunjiwa heshima

    Yanayoendelea kuhusiana na Mangungu ni kuvunjiwa heshima yake Kawaida hali kama hii ikishatokea basi njia sahihi ni kujiuzulu kwasababu kuendelea kuongoza matokeo yake ni kuzidi kuvunjiwa heshima Heshima ni jambo la msingi sana pasipo heshima hakuna uwezekano wa kuongoza watu Wanaomvunjia...
  3. Hasira za Mashabiki; Mangungu aokolewa na Polisi

    https://youtube.com/shorts/tOJxCv3CcT0?si=xSS3Qrohs5htvSKG Japo Kwenye mechi ya leo Mangungu hana kosa lolote, ila polisi wangeacha kidogo ale mitama
  4. Mangungu Aapa kusajili Yeye Mwenyewe endapo Atashinda Uchaguzi wa Simba

    Hii ni kumaanisha kwamba, jamaa atagombea tena. Hongera sana genius Mangungu, tunakutegemea.
  5. Mangungu is Green and Yellow

    Hongera sana mwananchi, Jasusi la ukweli, hakika unaifanya kazi yako kwa ufanisi ulio tukuka. Hongera sana mzee Mangungu, hongera waliomfanyia scouting na kumsajili pale Simba.
  6. N

    Mbinu za CCM tu ndizo zitakazomuwezesha Mangungu na genge lake kushinda tena nafasi za uongozi Simba

    Kwa mujibu wa katiba ya Simba viongozi wote wa kuchaguliwa wanafika ukomo mwezi huu mwishoni. Hadi sasa wanasimba hatuoni dalili yoyote ya uchaguzi tukimaanisha hakuna kamati iliyotangazwa kwa mujibu wa katiba kuendesha zoezi hilo kuanzia hatua za awali ambazo ni kutangazwa tarehe ya uchaguzi...
  7. Kuna kampeni ovu dhidi ya Simba inayoendlea yakumtetea manager matatoo na Mangungu

    Hapo vip! Kuna jambo halipo sawa kwa wachambuzi na wale watu wanaokoments sana kwenye posts mbalimbali zinazo usiana na posts za Simba. Kutokana na matokeo mabaya ya Simba kwenye club bingwa ni wazi yakwamba kocha anachangia kwa asimia 70 matokeo yale kwasababu: 1.kocha anakurupuka tu anampanga...
  8. Yaani Michezaji yetu haina Viwango tunafungwa tunataka Mangungu aondoke hivi wana Simba SC wenzangu tuna Akili sawa sawa kweli?

    Kwahiyo Mangungu ndiyo aliwaambia akina Kibu Denis na Nuksi Shomary Kapombe wakose yale Magoli ya wazi na ndiyo pia aliwaambia Mabeki wawe Wazembe katika Kukaba kiumakini hadi Pacome akatufunga? Yanga inacheza Kitimu Simba kizembe.
  9. KAMA MANGUNGU ANASEMA VIONGOZI HAWAHUSIKI KUVUJA JEZI BASI WACHEZAJI.. 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 watajeni

    Hahahaaaa ukistaajabu ya polepolee utafurahia ya mangungu mwenyekiti wa Simba ameibuka na kusema hawahusiki kabisa na swala la kuvuja jezi kama viongozi walifanya sehemuyaoo na kama kuna ivujujaji wa jezi vasi waulizwe wengine nasio viongozi wa Simba swali la 1 Unasema kama kuna uvujaji...
  10. Kwa 100% bingwa wa EPL ni Arsenal NBC wana Lunyasi bado, MO ana Drama sana kasajili nini? Anavuna asipopanda na ngojera ya 87B

    Habari Wana Sports, Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu. Imagine Victor yupo pale mbele left Kuna TEMINADO SAKA right MADUEKE. Declan Rice anakichafua Dimba la chini na juu pale...
  11. S

    Murtaza Mangungu na Engineer Hersi OUT

    Habari ndio hiyo, Mangungu na Hersi wamepigwa chini Simba oyeee
  12. Dk Mo yuko sawasawa kichwani?, Anamchafua mwekezaji Mo.

    Dk Mo ana uhakika gani kuwa wanasimba wangapi hawamtaki Mangungu? Mangungu amechaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mwenyekiti, hawezi kuondolewa na Dk mo kihuni kwa makosa ambayo hayana ushahidi. Yaani wajumbe woooote hawana akili kumchagua Mangungu. Kama vile inageuka vita ya kibiashara na GSM...
  13. Habari hii imfikie mzee Mangung Tafadhali sana

    Tafadhali sana yeyote mwenye access ya kumpata mzee Mangungu amfikishie hii habari. Mangungu wewe ni shujaa wetu unaipenda Simba kuliko Mo Dewj. Tafadhali tusajilie wachezaji bora achana na porojo za Mo, tena mfukuze ikibidi tutaaibika.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…