Timu vigogo barani Ulaya Arsenal, Real Madrid na Liverpool ni miongoni mwa klabu zilizojua hatima yao baada ya droo ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kupangwa Ijumaa.
Real Madrid watakutana tena na Manchester City katika hatua ya mtoano kwa msimu wa tano mfululizo, baada ya kupangwa...
Wakuu Mimi ni mkali wa correct scores kwenye mikeka hata ofsini kwangu wananiita Messi wa mikeka
Toka huu mwezi uanze Kuna intuition imekaa ndani yangu ikiniambia kuwa
Arsenal atabeba ubingwa wa EPL 2025/2026 kwa tofauti ya Point moja tu
niliwahi kumtabiria Leicester city January na...
Timu ya ManchesterCity imepoteza mechi ya pili mfululizo katika PremierLeague baada ya kukubali kichapo cha Magoli 2-1 kutoka kwa Brighton, leo Agosti 31, 2025.
Mchezo uliopita City ilipoteza kwa 2-0 dhidi ya TottenhamHotspur, hivyo iimesaliwa na pointi 3 katika michezo mitatu ya EPL msimu huu...
KIUNGO Kevin De Bruyne anajiandaa kujiunga na Napoli kwa dili la mkataba wa miaka miwili baada ya kufikia makubaliano na mabingwa hao wa Italia.
De Bruyne anaachana na Manchester City akiwa mchezaji huru baada ya miamba hiyo ya Ligi Kuu England kuamua kutomuongezea mkataba staa huyo wa...
Shabiki wa Man City unayedhani Simba na Yanga kukosa viwanja ni dhambi jitafakari.
Chama lenu halina uwanja
Etihad unamilikiwa na nanispaa ya jiji la Manchester
Ushindi wa Magoli 2-0 dhidi ya Manchester City umeifanya Liverpool kuongoza Ligi Kuu ya England "Premier League" kwa tofauti ya pointi 11 dhidi ya timu inayoshika nafasi ya pili (Arsenal)
Matokeo hayo pia yanaifanya City chini ya Guardiola kuendelea kubaki nafasi ya Nne ikizidiwa pointi 20 na...
Goli lililofungwa na Martin Ødegaard dakika ya 2 lilikuwa na baraka ya kuifanya Arsenal kushusha mvua ya Magoli 5-1 dhidi ya Manchester City katika Ligi Kuu ya England "Premier League" kwenye Uwanja wa Emirates
Magoli mengine yamewekwa wavuni na Thomas Partey, Lewis Skelly, Kai Havertz na Ethan...
Yule full beki wetu wa kulia, HAJI MNOGA anayechezea Taifa stars na Salford city ya nchini Uingereza, anatarajia kuwa sehemu ya wachezaji watakaowakabili Manchester City leo kwenye michuano ya FA.
Mchezo utachezwa leo saa 2::45 usiku.
Haji mnoga atakuwa mchezaji wa pili wa Kitanzania kucheza...
King Mseke (9), mtoto wa msanii wa hip-hop Tanzania Joh Makini, amewasili katika Academy ya Klabu ya Manchester City nchini Uingereza kwa ajili ya mafunzo ya soka ya wiki mbili. Joh Makini amesema mwaliko huo umetokana na juhudi za muda mrefu za kukuza kipaji cha King, kilichoonekana akiwa na...
Manchester Derby live msimu 2024/25 , Mpira ushaanza
6' 0-0
14' mount anaumia atolewa nje nafasi yake inachukuliwa na Mainoo
18' 0-0
22' bado 0-0 mpira umebalance
30' 0-0
35' 0-0 man city anapata kona
36' GOOOAL MAN CITY 1-0 MAN UNITED
Garvadiol
41' 1-0
HT Manchester City 1-0...
Baada ya kuchezea vipigo mfululu, Man City leo yupo ugenini Anfield kucheza na vinara wa ligi Liverpool
Mechi ya leo, Man City hatofungwa. Hesabu za kinyota zinaonyesha kabisa leo Liverpool sio siku yao pendwa.
Tukutane baada ya dakika 90
Pep Guardiola has lost five consecutive games for the first time in his managerial career. 🤯
◉ First defeat: 2-1 vs. Tottenham
◉ Fifth defeat: 0-4 vs. Tottenham
It's also the first time he has lost a Premier League home game by 4+ goals as Man City manager.
Most Premier League wins vs. Man...
Beki wa zamani wa Manchester City Benjamin Mendy anasema alikopeshwa pesa na wachezaji wenzake wakati huo Raheem Sterling, Bernardo Silva na Riyad Mahrez wakati klabu hiyo ilipoacha kumlipa baada ya kushtakiwa kwa ubakaji na unyanyasaji wa kingono, aliiambia mahakama ya ajira.
Beki huyo wa...
Wakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana JamiiForums wenzangu treni langu linaisha Leo lilikua mechi 20 mechi ya Mancity na Arsenal ndio ya mwisho.
Full name: Chelsea Football Club
Nickname(s): The Blues, The Pensioners
Founded: 10 March 1905
League: Premier League
Website: ChelseaFC.com
Ground: Stamford Bridge, (Capacity: 41,663) - Pitch 103m x 67m
Owner: The consortium of Todd Boehly, Clearlake Capital Group, Hansjörg...
The Manchester City boss has been suffering with severe back pain for some time lately, and flew out to Barcelona for emergency surgery performed by Dr Mireia Illueca.
The surgery was a success, and Pep will now recover and rehabilitate in Barcelona.
In his absence, assistant manager Juanma...
Kevin De Bruyne amepata majeraha ya nyama za oaja wakati timu yake ya Manchester City ikishinda magoli 3-0 dhidi ya Burnley katika mchezo wa kwanza wa Premier League.
Kocha wa City, Pep Guardiola amesema madaktari watamfanyia vipimo De Bruyne kujua ukubwa wa tatizo lakini kuna uwezekano atakuwa...
Mahakama imetoa hukumu leo kuhusu kesi ya udhalilishaji wa ngono ambao mchezaji wa zamani wa Manchester City, Benjamin Mendy anahusishwa kufanya na wanawake nchini Uingereza.
Mahakama imemkuta Benjamin Mendy kutokuwa na hatia yoyote na hivyo kumuachia huru mchezaji huyu wa Ufaransa.
Mchezaji...
Full name: Manchester City Football Club
Nickname(s): The Citizens, The Blues, The Sky Blues
Founded: In 1880 as St. Mark's (West Gorton), became Ardwick Association Football Club in 1887 and Manchester City in 1894
League: Premier League
Website: Mancity.com
Ground: City of Manchester...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.