Habari za asubuhi wanajamvi,
Nimeleta uzi hapa naamini nitapata msaada wa kimawazo. Kwa kawaida katika makuzi ya watoto malezi yanatofautiana na hivyo kuleta tabia tofautitofauti baina ya familia moja na nyingine au jamii moja na nyingine.
Hoja yangu ni kuhusu kuongeza IQ, Creativity and...
Habari JF.
Ni habari njema kwa watumiaji wa service ya TOVL kwa ajili ya kusoma vitabu online, na sasa wameamua kuachia toleo lao kwa watumiaji wa simu platform ya android .
Ni jambo jema sasa tutakuwa na uwezo wa kusoma vitabu popote.
Hongeren sana team nzima ya TOVL
Download : TOVL (...
Habari wana JF
Maktaba pekee ya mtandaoni Tanzania ( Tanzania Online Virtual Library ) imefanyiwa marekebisho makubwa ya muonekano, sikuwa nimepitia kwa kipindi cha zaid ya wiki moja sasa, ila leo nikahitaji kucheki kama jamaa wameongeza vitabu vingine, ndio nikakutana na ujumbe kuwa wanafanyia...
Habari wana JF ..
Nimekutana na hii habari mwananchi nikaona ni vizuri kushare
Rainer Mwashu, mtaalamu wa utengenezaji wa mifumo ya kompyuta, ambaye kwa sasa ni muajiriwa wa Mamlaka ya Bandari, iliyo chini ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi , ametengeneza maktaba ya mtandaoni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.