maktaba ya mtandaoni

  1. S

    Tujadili njia za kumsaidia mtoto kuongeza IQ yake katika ukuaji

    Habari za asubuhi wanajamvi, Nimeleta uzi hapa naamini nitapata msaada wa kimawazo. Kwa kawaida katika makuzi ya watoto malezi yanatofautiana na hivyo kuleta tabia tofautitofauti baina ya familia moja na nyingine au jamii moja na nyingine. Hoja yangu ni kuhusu kuongeza IQ, Creativity and...
  2. R

    Tanzania Online Virtual Library ( TOVL ) - Waaachia toleo la kwanza la application ya android

    Habari JF. Ni habari njema kwa watumiaji wa service ya TOVL kwa ajili ya kusoma vitabu online, na sasa wameamua kuachia toleo lao kwa watumiaji wa simu platform ya android . Ni jambo jema sasa tutakuwa na uwezo wa kusoma vitabu popote. Hongeren sana team nzima ya TOVL Download : TOVL (...
  3. R

    Maktaba ya mtandaoni TOVL yafanyiwa marekebisho makubwa ya muonekano na utendaji

    Habari wana JF Maktaba pekee ya mtandaoni Tanzania ( Tanzania Online Virtual Library ) imefanyiwa marekebisho makubwa ya muonekano, sikuwa nimepitia kwa kipindi cha zaid ya wiki moja sasa, ila leo nikahitaji kucheki kama jamaa wameongeza vitabu vingine, ndio nikakutana na ujumbe kuwa wanafanyia...
  4. R

    TOVL - Maktaba ya mtandaoni inayohimiza matumizi ya kompyuta kwa watoto

    Habari wana JF .. Nimekutana na hii habari mwananchi nikaona ni vizuri kushare Rainer Mwashu, mtaalamu wa utengenezaji wa mifumo ya kompyuta, ambaye kwa sasa ni muajiriwa wa Mamlaka ya Bandari, iliyo chini ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi , ametengeneza maktaba ya mtandaoni kwa...
Back
Top Bottom