Habari wana JF
Maktaba pekee ya mtandaoni Tanzania ( Tanzania Online Virtual Library ) imefanyiwa marekebisho makubwa ya muonekano, sikuwa nimepitia kwa kipindi cha zaid ya wiki moja sasa, ila leo nikahitaji kucheki kama jamaa wameongeza vitabu vingine, ndio nikakutana na ujumbe kuwa wanafanyia mfumo huu maktaba.
Introducing the New and Improved TOVL Look & Feel
Kiukweli nimependa muonekano mpya, nawapa hongera sana, wenzetu hawa wamejitahidi sana. Ni mda mrefu sana maktaba hii ilibaki kuwa stagnant bila ya madaliko yoyote, ila kwa mabadiliko haya, nafikiri tutarajie makubwa kutoka kwao.
Kwa sasa naona website ina muonekano mzuri sana especially kwa sisi tunaotumia simu na tablets. na pia wamejitahidi wameongeza vitabu vingi, kuna baadhi ya pages bado hazijakamilika ila naamini watazifanyia kazi. Nimependa zaid sasa unaweza hata kuacha comment kwenye kitabu.
Sasa unaweza kusoma vitabu kwa kulipia
Sasa kusoma kitabu ndan ya maktaba hii, utahitaji kulipia shilingi Tsh 500/- tu.
Tuwa support hawa wenzetu ili waweze kuleta positive impact na mfumo wao huu mzuri kwenye sekta yetu ya elimu
Unaweza kupitia mfumo wa mpya hapa
Say Hello to TOVL's brand new Look & Feel
Previous Post
TOVL - Maktaba ya mtandaoni inayohimiza matumizi ya kompyuta kwa watoto
Maktaba pekee ya mtandaoni Tanzania ( Tanzania Online Virtual Library ) imefanyiwa marekebisho makubwa ya muonekano, sikuwa nimepitia kwa kipindi cha zaid ya wiki moja sasa, ila leo nikahitaji kucheki kama jamaa wameongeza vitabu vingine, ndio nikakutana na ujumbe kuwa wanafanyia mfumo huu maktaba.
Introducing the New and Improved TOVL Look & Feel
Kiukweli nimependa muonekano mpya, nawapa hongera sana, wenzetu hawa wamejitahidi sana. Ni mda mrefu sana maktaba hii ilibaki kuwa stagnant bila ya madaliko yoyote, ila kwa mabadiliko haya, nafikiri tutarajie makubwa kutoka kwao.
Kwa sasa naona website ina muonekano mzuri sana especially kwa sisi tunaotumia simu na tablets. na pia wamejitahidi wameongeza vitabu vingi, kuna baadhi ya pages bado hazijakamilika ila naamini watazifanyia kazi. Nimependa zaid sasa unaweza hata kuacha comment kwenye kitabu.
Sasa unaweza kusoma vitabu kwa kulipia
Sasa kusoma kitabu ndan ya maktaba hii, utahitaji kulipia shilingi Tsh 500/- tu.
Tuwa support hawa wenzetu ili waweze kuleta positive impact na mfumo wao huu mzuri kwenye sekta yetu ya elimu
Unaweza kupitia mfumo wa mpya hapa
Say Hello to TOVL's brand new Look & Feel
Previous Post
TOVL - Maktaba ya mtandaoni inayohimiza matumizi ya kompyuta kwa watoto