Makongo (Kata ya Makongo in Swahili) is an administrative ward in Kinondoni District of the Dar es Salaam Region in Tanzania. Kawe and Mikocheni wards form the ward's eastern boundary. The ward is bordered to the south by Kijitonyama, Sinza, Ubungo, and Kimara. The ward is surrounded by Saranga ward to the west. The ward is bordered to the north by the wards of Goba and Mbezi Juu. According to the 2012 census, the ward has a total population of 43,796.
Siku chache baada ya Mwananchi kutoa wito kwa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kuhusu njia ya Makongo Juu kuwa na uhaba wa Daladala mamlaka hiyo imetoa mwongozo ukiwataka Wadau kujitokeza kuongeza huduma ya usafiri katika njia hiyo.
Taarifa ya LATRA imeeleza "Katika hatua ya...
Kiwanja kinauzwa Makongo juu. Ukubwa Sqm 500 KIMEPIMWA. Kiwanja kipo ktk mazingira mazuri yasiyokuwa na msongamano wa Majengo.
Kipo mita chache kutoka barabara kuu ya Lami iendayo Mlimani city.. Bei 75m Maongezi yapo... 0743941142.
Kwa Mwaka wa tatu sasa mtawalia sisi wakazi wa Makongo na Makongo Juu hadi Goba, barabara inayoenda hadi mzunguko wa GOBA CENTRE tumelalamika sana kwenu kwa barabara yetu kukosa daladala.
Ahadi zenu zote zimekuwa HEWA mpaka sasa.
Kila mara tunapopiga simu dawati lenu la HUDUMA KWA WATEJA...
Je, umekuwa ukitafuta kiwanja kwa Ajili ya makazi au biashara maeneo ya Makongo juu, Goba na Madale? Viwanja vyenye ukubwa tofautii tofautii vizuri vinapatikana kwa Bei nzuri kulingana na maeneo hayo.
Makongo juu:
Sqm 500 70m.
Sqm 500 75m
Sqm 600 120m
Sqm 300 40m.
Goba
Kuanzia 30m na...
Nyumba yenye vyumba vitatu kimoja master, Sebule, Jiko, Dinning na store Inauzwa Makongo juu.
Nyumba haipo mbali na Barabara kuu iendayo Goba na mlimani city! Nyumba ipo ndani ya fence yenye Gate! Ukubwa wa Eneo lake ni sqm 270 Kuna hati....... Bei ni 120m Kuna maongezi 0743941142.
Nashindwa kuelewa kama TANESCO ni shirika linalosimamia maslahi ya umma, nini maana ya kutoa ahadi feki kila siku?
Kwa masikitiko makubwa sana, shirika hili limegeuza kile kinachoitwa 'Mgawo wa umeme' kuwa 'Hitilafu za kiufundi'
Ni siku 3 sasa watu wa Makongo Juu tunapata usumbufu mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.