makamu wa raisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sprouts pre School

    JamiiForums Tanzania Makamu wa rais Emmanuel Nchimbi amezungumza mambo mazuri lakini swali Je, yeye si sehemu ya Suluhu?

    Mh makamu wa rais leo amezungumza mambo mengi sana mazuri ambayo watu wengi wamempongeza kwa kusema ukweli na kutetea wanyonge mfano Katiba mpya Kuishi bila hofu Umuhimu wa kuheshimu haki za binadamu nk Lakini ni kama na yeye analalamika au anadai vitu alivyovitaja , Je yeye sio sehemu ya...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Wanasheria: Ikiwa Rais na Makamu wa Rais wanachaguliwa kama timu moja uchaguzi mkuu, unaweza kumpigia Rais kura ya kukosa imani Makamu akabaki?

    Ni jambo najiuliza, na nakiri sijui msimamo wa katiba yetu ukoje juu ya hili, labda kwa sababu halijawahi kutokea na hatujawahi kufikiri linaweza kutokea. Katika uchaguzi Mkuu, ushindi wa kiti cha urais inajulikana ni matokeo ya juhudi ya mgombea uraisi na mgombea mwenza wake. Yaani, kuna watu...
  3. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Serikali itoe ufafanuzi: Makamu wa Rais ni Msaliti na anakwamisha Maendeleo na Mipango Serikali ya Samia?

    Guys Huko ndani kuna moto unawaka hatari akina Rachel.dangwa wakisema mnaqaita wanaharakat. Shutuma iliyotolewa na mbunge siyo ya kubezwa na ni hatari sana. sisi kama raia tunataka ufafanuzi kwa nini mipango inakwama kisa Nchimbi na nchimbi abaki ofisini? Ndugu zangu hadi mbunge wa CCM...
  4. U

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Raisi ni mkarimu sana tujivunie awamu hii kila sehemu iko fiti Mh Nchimbi ni mfano wa kuigwa

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Samwel Malecela katika makazi yake Kilimani Jijini Dodoma leo tarehe 13 Mei 2026.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Raisi Dkt MPANGO Aagiza Homilia hii ya Askofu Nyaisonga Irudiwe kwenye Vyombo vya Serikali

    Makamu wa Raisi Dkt MPANGO Aagiza Homilia hii ya Askofu mkuu jimbo katoliki la Mbeya Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga Irudiwe kwenye Vyombo vya Media ya Serikali https://m.youtube.com/watch?v=h483w5Qe2fI Habari kamili : Ibada hiyo imeongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Mbeya...
  6. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kulingana na Pole pole mtu ukishakuwa makamu wa raisi hutakiwi kuwania uraisi sasa inamaana samia anawania uraisi kwa katiba gani ?

    Kulingana na Pole pole mtu ukishakuwa makamu wa raisi hutakiwi kuwania uraisi sasa inamaana samia anawania uraisi kwa katiba gani ? Unajua huyu msajiri wa wa vyama vya siasa nae simuelewi sijui hili halioni ?
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole: Kama ulishakuwa Spika, Waziri Mkuu, au Makamu wa Rais hutakiwi kugombea urais

    Polepole atufumbua macho ndani ya CCM kuwa wanataratibu zao kama ulishakuwa Spika, Waziri Mkuu au Makamo wa Rais hutakiwi kuchukuwa fomu ya kugombea Urais. Ina maana kijiti alichonacho leo kushika uraisi alitakiwa asichukue fomu.
  8. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Nashauri makamu wa raisi apatikane kutoka kwenye mshindi wa pili wa uchaguzi wa uraisi anaweza kuwa upinzani

    Makamu wa raisi ni nani ? Kulingana na jamuhuri ya muungano wa Tanzania huyu ni mtu wa pili kwenye nchi badala ya raisi na anaweza kuchukua madaraka badala ya raisi. Hivi makamu wa raisi anapigiwa kura na nani ? Watu wengi wanapiga kura kumchagua raisi tu sio makamu wake lakini makamu wake...
Back
Top Bottom