madini mbalimbali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 1Africa54

    JamiiForums Tanzania Hivi nikitaka kuuza madini lazima niwe na kibali ?

    Habari wana JAMII FORUM naomba kujua nikiwa na madini naweza kuuza bila kua na vibali vya uchimbaji ?
  2. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Tanzania isipotumia Makaa ya Mawe na Madini mengine Sasa hivi yakiwa na Demand,Yanaweza Kudoda kama Almasi Ilivyowaliza Namibia na Botswana

    Zile Kauli za kijinga za eti tusitumie Madini Hadi vizazi vingine ndio vije kutumia zitakuja kuwaliza watu sio mda. Toto Russia avamie Ukraine imepatika fursa ya bei ya Makaa ya Mawe kupanda na ni wakati huu wa mpito ambapo Serikali inatakiwa kuweka pesa Kwa Stamico Ili washirikiane na private...
  3. W

    JamiiForums Tanzania Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yanyakua tuzo ya jumla maonesho ya madini

    Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) leo tarehe 13 Oktoba limenyakua Tuzo ya Jumla (Overall Winner) kwa upande wa sekta ya umma kwenye Maonesho ya Madini yanayofikia tamati leo mkoani Geita. Mheshimiwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania,Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgeni Rasmi kwenye...
  4. milele amina

    JamiiForums Tanzania Tume ya Madini ni lini Vyama vya Wachimbaji Madini (FEMATA) vitafanya uchaguzi wa viongozi wake?

    Vyama vya Wachimbaji Madini (FEMATA) vitafanya uchaguzi wa viongozi wake lini? Ikiwa kuna mtu mwenye katiba ya FEMATA, tafadhali igawanye ili watu wengine waweze kupata taarifa muhimu kuhusu taratibu na kanuni za uchaguzi. Ni faida zipi za FEMATA kwa wachimbaji wadogo? Chama hiki kinawasaidiaje...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Madini apongeza Maafisa madini kwa kuvunja rekodi ya Mapato ya Bilioni 196 kwa miezi miwil

    Ndani ya miezi miwili yakusanya shilingi bilioni196 ikiwa ni zaidi ya kiasi kilichokusanywa katika mwaka wa fedha 2015/2016 cha shilingi bilioni 161 Waziri Mavunde apongeza Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa kwa kuibeba Sekta ya Madini kupitia ukusanyaji wa maduhuli. Ampongeza Rais Samia kwa kuipa...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Haya ni madini gani?

  7. The Sunk Cost Fallacy 2

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 Zinazoongoza Kwa Mauzo Yatokanayo na Utajiri wa Madini Afrika.Tanzania Bado Tunajikongoja

    Kwa mujibu wa economic intelligence Afrika Ina Hifadhi ya asilimia 30% ya Madini mbalimbali Duniani. Kutokana hivyo ikabainisha Nchi 10 Zinazoongoza Kwa Mauzo ya Madini mbalimbali kuanzia Mafuta,Dhahabu Hadi chumvi Kwa Wingi zaidi. Hata kwenye Dhahabu ambako tuandhani tuna utajiri ,hakuna...
Back
Top Bottom