maandamano ya gen z

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Genius Man

    Kuna watu wengi wanao ondoka Dar kukimbia maandamano ya Gen Z Disemba 9

    Tetesi stendi ya Magufuli yafurika watu wanao ondoka dar kukimbia maandamano ya gen z #D9. Gen z wanakuja na maandamano makubwa sana December 9 ambayo hayajawai kutokea africa =========== Hali ya usafiri katika eneo la Shekilango jijini Dar es Salaam imekuwa changamoto huku idadi ya abiria...
  2. Genius Man

    Maandamano ya Gen Z ndio yameshinikiza Kanisa la Gwajima kufunguliwa, bila hayo maandamano lisingefunguliwa

    Maandamano ya Gen Z ndio yameshinikiza Kanisa la Gwajima kufunguliwa bila kuwepo lisingefunguliwa. Bila gen z kuingia barabarani Samia asingefungua Makanisa ya Gwajima ng'oo
  3. K

    Gen Z wapewe maua yao kwa mara ya kwanza wamesimama

    Genz Z wapewe maua yao kwa mara ya kwanza wamesimama. Dharau za kupitiliza na watu kuwaona vijana wetu wajinga jinga sasa wamejiletea heshima na kuonyesha wana hasira. Tukiendelea kuwa puuza hii nchi itabakia majivu. Vijana wamechoka uongo
  4. R

    Madaktari waunga maandamano ya Gen Z Madagascar, Rais aitisha mazungumzo baada ya kupewa muda wa saa 48 na Waandamanaji kuitikisa nchi nzima

    Waandamanaji waliendelea kujitokeza mitaani nchini Madagascar Oktoba 7, 2025, siku moja baada ya Rais Andry Rajoelina kumteua waziri mkuu mpya Jenerali wa Jeshi, katika juhudi za kupunguza mzozo unaoendelea. Katika mji mkuu Antananarivo, hasira zimeenea hadi sekta ya afya, ambapo mamia ya...
  5. Mafyangula

    James Lyimo: Wanaotumia dawa za kulevya chanzo cha machafuko Tanzania

    Huyu naye atupishe huko! Atupe ushahidi Tangu vijana wa Gen Z tutangaze maandamano wanakuja na propaganda zao za hovyo tu! Tuwakumbushe kwamba ndio kwanza kumekuchaaa! ================== Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, James Lyimo ameongeza kuwa asilimia...
  6. tonicimmobility

    GE2025 Afrika inaamka, ndani ya miezi mwili tayari GenZ wameshusha nchi tatu zenye utawala mbovu. Jana ilikuwa Madagascar. Je, Tanzania kufuata?

    Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, siku ya Jumatatu alisema anavunja serikali kufuatia maandamano yaliyoongozwa na vijana kuhusu kukatika kwa maji na umeme, ambapo Umoja wa Mataifa unasema angalau watu 22 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa. Yakiwahamasisha na maandamano ya kizazi cha “Gen Z”...
  7. The Supreme Conqueror

    Maandamano ya Gen Z nchini Madagascar yanaendelea siku ya tatu leo

    Wakuu ni siku ya tatu leo Madagascar hali si shwari kabisa,kumbuka jana Waziri wa nishati alishaliwa kichwa kunusuru malalamiko ya Wandaamanaji lakini bado haijasaidia kitu. Soma pia >> Gen Z Madagascar waandamana dhidi ya kukatika kwa umeme na ukosefu wa maji Naona kuna muamko mkubwa kwa...
  8. R

    Gachagua akanusha madai ya kupanga maandamano ya Gen Z June 25, 2025

    Kiongozi wa chama cha DCP na Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua amepuuzia madai kwamba aliwalipa makundi ya vijana kuharibu mali wakati wa maandamano ya Juni 25 ya GenZ akidai kuwa serikali inahusika na uharibifu wa mali hiyo. Hata hivyo viongozi wa upande wa serikali wanashinikiza kukamatwa...
  9. R

    Gavana wa Embu, Cecily Mbarire amemshutumu Gachagua kufadhili makundi ya vurugu kwenye maandamano ya Gen Z

    Gavana wa Embu, Cecily Mbarire, amemshambulia vikali aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, akimtuhumu kufadhili makundi yenye vurugu kuingia kwenye maandamano ya vijana hivi karibuni na kusababisha uharibifu mkubwa mjini Embu na Kiritiri. Mbarire alisema kuwa hatua hiyo ilikuwa njama ya...
  10. Just Pray

    Maandamano ya Gen Z: Jaji Mkuu Mstaafu David Maranga na waandamanaji watawanywa kwa mabomu, raia wasiopungua 16 wauawa

    Hatimaye imewadia Jumatano iliyosubiriwa kwa hamu tarehe 25 Juni 2025, ambapo Gen Z wa Kenya wanatarajiwa kufanya maandamano, Swali niJe, waandamanaji watakuwa salama dhidi ya polisi? HALI ILIVYO KABLA YA MAANDAMANO KUANZA Polisi wametumia waya wenye miba kuzuia lango la kuingia Bungeni kabla...
  11. funaku

    Kumbe maandamano ya GEN Z sio self initiative bali ni fedha za mabwanyenye?

    Penye uzia penyeza rupia! Kumbe mbwembwe zote zile za maandamano ya GEN Z huko Kenya nilidhani inatokana na hisia kamili za Wanaojiita Gen Z kumbe kuna mabwanyenye ambao inawezekana mirija yao ya kunyonya fedha imekatwa. Shime vijana wetu ingieni China...ingieni shambani ingieni kwenye michezo...
  12. BLACK MOVEMENT

    Kule Kenya Gen Z wanadili na Wakusanya Kodi wa Kenya, Tanzania tunadili na Mbowe ambaye hakusanyi kodi

    Gen z wanadili na Ruto ndio anaye kusanya kodi na kuzitumia vibaya, Raila wala Kalonzo hawakusanyi Kodi, Raiala yuko enzi za Moi na hakusanyi kodi za Kenya waka hapangi bajeti ya Kenya. Tanzania SAMIA ndio anaye kusanya kodi na tozo na kuzitumia kwa anasa huyu wajinga hawamuini. Wanaoambana...
Back
Top Bottom