Katibu wa Siasa na Uenezi CCM, Mkoa wa Dodoma Jawadu Mohamed anaisistiza kwamba suala la kuandamana sio mawazo ya Watanzania walio wengi bali ni baadhi ya watu.
Jawadu Amesisitiza Hilo Kufuatia Vuguvugu la Baadhi ya Wanasiasa na Wanaharakati wa Haki za Binaadamu Wanaoishi Ndani na Nje ya Nchi...