maandamano d9

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    PostGE2025 Jeshi la Polisi limekubali video nyingi zilizosambaa leo ni za Oktoba 29, sasa itakuwaje wakati mlisema ni AI?

    Wakuu, Yaani kila mtakachofanya bado wananchi wananchi wanashinda. Ushahidi unazidi kukaa vizuri kule ICC, bwana Girisho Gerson Msigwa unazidi kuvuliwa nguo, guys ndio kabisa anaandaa skripti ya kuja kutoa kesho lakini anashindwa. Video ni AI, Watanzania hawajaandamana, wanampenda sana Samuya...
  2. Cute Wife

    Rais Samia, Polisi wabubujikwa machozi ya uoga Siku ya Uhuru! Hawaamini kama hawa ni Watanganyika!

    Wakuu, Hivi machozi ya uoga yakiwa yanatoka ndio yanakuwa yanatetema eeeeh? Eti mtaalam wa machozi Lucas Mwashambwa, Dr. Mwigulu Nchemba?🌚🌚 Rais Samia haamini kile anachokiona, yaani wananchi hawa hawa masikini, malofa, wanyonge leo ndio wanamtetemesha hivi? WHO ARE THEY? Yaani WHO ARE THEM...
  3. Cute Wife

    PostGE2025 Baada ya Vyombo vya Dola kuandamana zaidi ya wiki, sasa DJ anawaleta Watanzania. Mtulie kama sisi tulivyotulia wakati wenu

    Wakuu, Hii wiki na zaidi ilikuwa muda wa vyombo vya dola kuandamana, yaani wajuba wametoka barabarani hadi na vifaru😂😂 kama wapo vitani vile kumbe ni kutisha wananchi wasitoke kesho! Safari hii hawajafanya zile troti za kuoasha misuli, wameona hazifanyi kazi! Wakati huu wameweka hadi kambi...
  4. McLaren

    PostGE2025 Kiliba: TAHLISO hatutoshiriki au kuunga mkono maandamano ya Disemba 9

    Wakuu, Rais wa TAHLISO Bw Godfrey Kiliba amesema jumuiya hiyo haitashiriki wala kuunga mkono maandamano yasiyo na ukomo yaliyopangwa kuanza Desemba 9, 2025, akitoa msimamo huo leo Desemba 7 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.
  5. Genius Man

    Jeshi la polisi halina mamlaka ya kuzuia maandamano D9

    Jeshi la polisi halina mamlaka ya kuzuia maandamano D9 pia kwa mauwaji ya halaiki waliyo yatekeleza halina uhalali wa kuingia barabarani kulinda raia. Sio mamlaka ya jeshi la polisi kuzuia maandamano yoyote puuzieni wanaojitikwa mamlaka hayo kinyume cha sheria.
  6. Pascal Mayalla

    PostGE2025 Wito kwa Gen Z wetu: Disemba 9 tusiandamane, kuandamana bila malengo ni ukichaa. Serikali, tafadhali usiwapige Risasi vijana wetu, tuwasaidie!

    Wanabodi, Hii ni Makala yangu, kwenye gazeti la Nipashe la leo Kwa vile nimetumia dhana ya ukichaa, naomba anza bandiko hili kwa kuisoma kwanza dhana yangu ya ukichaa, ndipo some bandiko hili Thread 'Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?'...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    Kama kweli serikali imedhamiria pasiwe na maandamano D9 njia bora ni kupiga marufuku ya kutoka Siku hiyo kwa masaa muhimu

    Hamjambo Wakuu. 1. Ni vizuri kama kweli inania watu wasiandamane Siku ya tarehe 9 basi ni muhimu kutangaza mapema kabisa; 2. Kwamba Tarehe 9 watu wakae ndani. Kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 6 mchana. 3. Kisha waingie ndani majumbani kuanzia saa 11 jioni wasitoke kabisa 4. Viongozi wa...
  8. Mbepo yamba

    Maandamano D9: resiliency pekee ndo itawatoa watawala

    Wakuu kuelekea D9 kuna angalizo muhimu hapa. Mafanikio yamejengwa kwenye msingi wa uendelevu na kushikilia bomba. Wanajeshi wala polisi hawatawazuia waandamanaji kwenda Ikulu. Wanajeshi wamejiapiza kuzuia vurugu tuu hivyo endapo waandamaji hawatosababisha vurugu basi mwendo wa Ikulu utakuwa...
  9. Damaso

    Starlink: Mkombozi pekee wa Mawasiliano wakati wa D9

    Kuna nyakati ambazo nchi huingia katika aina fulani ya ukimya usio wa kawaida—ukimya wa kidijitali. Mamlaka zinapositisha au kupunguza kasi ya intaneti, ghafla maisha ya watu milioni kadhaa hukwama: biashara husimama, wanafunzi hushindwa kuendelea na mitihani ya mtandaoni, na familia hushindwa...
Back
Top Bottom