kutekeleza miradi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Tathmini yako ni ipi kuhusu mgawanyo wa miradi ya serikali mikoani, serikali inajali usawa kulingana na uhitaji katika kutekeleza miradi l?

    Ni muhimu kuangalia kama rasilimali zinagawanywa kwa haki, zikihakikisha mikoa yote inapata fursa sawa ya maendeleo, bila upendeleo wowote. Tathmini yako ni ipi kuhusu mgawanyo wa miradi ya serikali atika kila mkoa ? Je, serikali inazingatia usawa kulingana na uhitaji halisi wa wananchi katika...
  2. baz kaiza

    Magufuli akuuza rasilimli za nchi Pamoja na kutekeleza miradi yote Mikubwa

    Huyu mzee pamoja na mapungufu yake yote akuuza rasilimli za nchi ili kuendesha miradi yake Aliweza kubana matumizi kwa kuondoka watumishi hewa ambao walikua wanajilipa mamilioni ya pesa akabana...
  3. Stephano Mgendanyi

    Makandarasi Wanawake watakiwa kutekeleza miradi ya barabara kwa ufanisi

    Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi imetoa rai kwa Makampuni 15 ya Makandarasi Wanawake waliopata fursa ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilometa 20 katika barabara ya Ruanda - Idiwili Mkoani Songwe kuutekeleza mradi huo ipasavyo kwa ubora, uaminifu na muda uliopangwa...
  4. USSR

    PreGE2025 Jumla ya shilingi bilioni 98 zimeletwa wilaya ya Biharamulo kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo

    JUMLA YA SHILINGI BILIONI 98 ZIMELETWA WILAYA YA BIHARAMULO KUTEKELEZA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA MIAKA 04 YA UONGOZI DKT SAMIA SULUHU HASSAN. Na S.L.T Waziri wa Sheria na katiba Dkt Damas Ndumbaro amesema kuwa kwa Kipindi Cha miaka 04 ya uongozi wa Raisi Samia Wilaya ya...
  5. Waufukweni

    PreGE2025 Katibu wa NEC Zanzibar: Serikali zetu hazitohofia kukopa kutekeleza Miradi ya Maendeleo

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Serikali zake hazitohofia wala kuacha kukopa kwenye Taasisi za Kimataifa za Fedha na Benki ya Dunia kwa minajili ya kutekeleza shughuli za miradi na ujenzi wa miundombinu . Pia chama hicho kimeahidi kitasimamia ahadi na sera za msingi kwa kumaliza changamoto...
  6. Nipe Maji

    PreGE2025 Wananchi walalamikia kutokushirikishwa kuibua na kutekeleza miradi ya maendeleo

    Wananchi wa Kata ya Katesh, wilayani Hanang, mkoani Manyara, wamelalamikia kutoshirikishwa katika kuibua na kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo ya elimu na afya hivyo kushindwa kusimamia uwajibikaji na kulinda miundombinu ya miradi hiyo inayogharimu mamilioni ya fedha za umma. Wananchi hao...
  7. Just Pray

    PreGE2025 Mbunge Bukoba Vijijini: Serikali imetoa bilioni 106.4 kutekeleza miradi ya maendeleo

    Serikali imetoa Sh bilioni 106.4 kufanikisha miradi ya maji, afya, barabara, umeme na elimu katika jimbo la Bukoba Vijijini mkoani Kagera kwa kipindi cha miaka minne, Mbunge wa jimbo hilo, Jassoni Rweikiza anasema. Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Makamu Mwenyekiti wa...
  8. Stephano Mgendanyi

    Mhe. Katimba Awataka Wakandarasi wa TARURA Kutekeleza Miradi kwa Ufanisi

    MHE. KATIMBA AWATAKA WAKANDARASI WA TARURA KUTEKELEZA MIRADI KWA UFANISI Naiba Waziri, Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amewataka makandarasi wanaopatiwa kandarasi za ujenzi wa barabara za TARURA kutekeza miradi hiyo kwa ufanisi na kwa wakati kama ilivyo makubaliano ya katana...
  9. Roving Journalist

    Wizara ya maji na benki ya maendeleo ujerumani (KfW) kuendeleza ushirikiano katika kutekeleza miradi ya maji

    Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Hamidu Aweso akiwa jijini Frankfurt nchini Ujerumani leo tarehe 09 Oktoba 2024 amepata wasaa wa kufika makao makuu ya Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) na kukutana na Viongozi wa Benki hiyo kwa lengo la kuboresha na kukuza mashirikiano baina ya Serikali ya...
  10. Kimbesa11

    Tunampenda Rais Samia kwasababu ni Mpenda haki, ukitenda haki unabaki mioyoni mwa unaowatendea haki hutasaulika kamwe

    Mh. RAIS SAMIA, ni Rais mpenda haki na mpenda ustawi wa jamii kwa ujumla, ameleta neema nchini ndo maana kila mtu anataka kumlaki pale anapotembelewa na Mh. Rais Samia. Haya hapo chini ni baadhi ya maendeleo ambayo ninayashuhudia hapa kifupi kwasabu nayaona yanafanyika nchini Mimi mwenyewe...
Back
Top Bottom