Salaam Wakuu,
Wizara ya mambo imefanya mabadiliko katika usajili wa Taasisi za Kidini kutoka wa Kudumu na kuwa wa Miaka 5. Lengo ni kutathimini Jumuiya zilizo hai na kuhakiki kama zinatii Masharti ya Usajili. Taasisi hizo zitatakiwa kulipia laki moja.
Thread 'Wiziri Simbachawene: Usajili sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.