Habari mjasiriamali,
Kwema thread iliyopota niliongelea namna ya kujisajili Brela, kwenye thread hii nitaelezea documents 6 unazohitaji ili Kuisajili Kampuni Yako TRA baada ya kumalizana na BRELA.
1. Copy ya TIN certificates za directors
Utatakiwa kuwasilisha printed copies za TIN directors...
Hello Wakuu.
Nimekua najaribu kusajili NGO yangu kupitia mfumo wa NIS jamii.
Lakini kila nikifika kuverify NIDA yangu naandikiwa "something is wrong, please try again"
Nimeenda office ya NIDA wilayani nimehakiki kila taarifa na kuangalia status za NIDA inaonesha haina shida wala kukosewa...
Kusajili Kampuni ya Construction Kuna procedures zake ambazo hazijaachana sana na Kampuni ya kawaida, ila hapa nitakuandikia in details procedures hizo;
1/5 Company Registration
Hapa utafuata taratibu zote za brela kama kuandaa documents, kufanya application na kulipia fee, baada ya usajili wa...
Jinsi ya kusajili Alama yako ya Biashara au Huduma Usajili unafanyika kupitia mfumo rasmi wa BRELA (ORS). Kwa Watanzania, unahitaji NIDA, barua pepe na namba ya simu. Makampuni yanapaswa kutumia NIDA ya mfanyakazi mmoja. Wageni wanapaswa kutumia mawakala waliopo Tanzania.
👉 Vigezo muhimu vya...
Habari wakuu,
Naomba kuuliza kwa sheria za kampuni hapa tanzania kuna uwezekano wa kusajili kampuni ambayo ni single member company, kwa maana ya kuwa Director ndo huyo huyo share holder?
Kuna tafiti zinaonyesha kuwa kulingana na mabadiliko ya sheria hili swala linawezekana, ila nimeona...
Vitu Vinavyohitajika Kumiliki Kampuni
1. Jina la Kampuni
Kuchagua jina sahihi la kampuni ni hatua ya kwanza muhimu. Jina lako linapaswa kuwa huru kufanya biashara nyingi tofauti chini yake bila kujifunga kwenye sekta moja. Unapochagua jina lisilopendelea biashara fulani, kama ABC Company Limited...
Kusajili Kampuni Kuna hitaji taarifa nyingi sana, kwenye thread hii nimekuandikia mambo manne ya Muhimu zaidi Kuwa nayo.
1. Namba ya NIDA
Bila namba ya NIDA hutaweza hata kujisajili kwenye mfumo wa Brela, kwahiyo taarifa ya kwanza itakayo kupa next step kwenye usajili wa Kampuni ni namba ya...
Habari Mwana JF,
Kwa uzoefu wa kutosha, miaka mingi, katika tathnia ya ushauri na biashara, nimebaini kwamba kampuni nyingi zimeingia kwenye shida na matatizo makubwa mnoooo, baada tu ya kusajili. Nime gawa makundi ya watu(kampuni na matattizo yake)
KUNDI NO. 1
KAMPUNI ZILISAJILIWA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.