kupoteza wateja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Vien

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya biashara zinaweza kuwa zinapoteza wateja kwa kuwaweka wafanyakazi wengi wakimsikiliza mteja mmoja

    Kuna jambo ambalo nimeliona kwenye maduka mengi, sijui kama ni mimi peke yangu, lakini naamini linaweza kuwa linachangia baadhi ya biashara kupoteza wateja bila wenyewe kujua. Unaingia dukani ukiwa na lengo la kuulizia bidhaa fulani. Ghafla unakuta wafanyakazi watano au sita wote wamekusogelea...
  2. O

    JamiiForums Tanzania Mafundi na wafanyabiashara wenye tabia za kimasikini, mtaendelea kupoteza wateja

    Unamwambia MTU Bei ya KITU flani 40000 akikudeshi kama anauliza mara ya pili unapandisha unahisi hakusikia mwanzo ? Jitahidini manpotamla Bei MUWE na misimamo. Mwingine akasema Bei ya kutengeneza KITU ni kiasi flani alipo maliza kikafanya kazi anapandisha Bei anaanza kubembeleza nakufosi fosi...
  3. youngkato

    JamiiForums Tanzania Una hatari ya kupoteza wateja wako kama hujasajili jina la biashara yako

    Una hatari ya kupoteza wateja wako kama hujasajili jina la biashara yako Una hatari ya kupoteza wateja wako kama hujasajili jina la biashara yako. Watu wengi wanafanya biashara nzuri, wana wateja, wana followers wa kutosha, lakini hawajasajili jina la biashara yao. Unaweza usione shida leo...
  4. realMamy

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wakorofi chanzo kikubwa cha kupunguza wateja kwenye baadhi ya Makampuni na kwingineko

    Ndugu waajiri ni muhimu sana kuwa makini na hawa watu kwenye Biashara zenu. Msiwaamini kupitiliza wanawafukuzia wateja muhimu. Ukiwepo mwenyewe wanakua wapole, ukiondoka wanafanya wanavojua wao. Hawa ni moja ya vitu vinavyosababisha malalamiko katika huduma unayotoa. Fuatilia.
  5. Mcheza Viduku

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nikipokea simu ya biashara mbele ya rafiki, ndugu au mke piga ua haifanikiwi, nifanyeje?

    Mimi ninafanya shughuli za kujiajiri mwenyewe, kitu ninachoshangaa ni pale nikiwa na rafiki/marafiki, ndugu au wife halafu nikapigiwa simu na mteja wangu tukaanza kupatana bei. Baada ya hapo piga ua garagaza hiyo kamwe haitafanyika hata iweje, jambo hili limekuwa linaniumiza kichwa muda mrefu...
  6. Sir John Deere

    JamiiForums Tanzania Huduma benki ya CRDB ni mbovu sana

    Sijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma. Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kuchanganya content kwenye social media account za kibiashara, inatukosesha Sana wateja na Kama sio wote Basi wateja serious tunawapoteza

    Habari wadau, nikiwa Kama kijana naepambana katika kizazi hiki Cha teknolojia, Mimi ni mdau mkubwa Sana wa mitandao ya kijamii, na ni miongoni mwa watumiaji wazuri wa mitandao ya kijamii kujipatia kipato. Moja ya vitu nilivyo vi observe na nikaona vinatugharimu Sana hasa kwenye mtandao wa...
Back
Top Bottom