Kuna jambo ambalo nimeliona kwenye maduka mengi, sijui kama ni mimi peke yangu, lakini naamini linaweza kuwa linachangia baadhi ya biashara kupoteza wateja bila wenyewe kujua.
Unaingia dukani ukiwa na lengo la kuulizia bidhaa fulani. Ghafla unakuta wafanyakazi watano au sita wote wamekusogelea...
Unamwambia MTU Bei ya KITU flani 40000 akikudeshi kama anauliza mara ya pili unapandisha unahisi hakusikia mwanzo ?
Jitahidini manpotamla Bei MUWE na misimamo.
Mwingine akasema Bei ya kutengeneza KITU ni kiasi flani alipo maliza kikafanya kazi anapandisha Bei anaanza kubembeleza nakufosi fosi...
Una hatari ya kupoteza wateja wako kama hujasajili jina la biashara yako
Una hatari ya kupoteza wateja wako kama hujasajili jina la biashara yako.
Watu wengi wanafanya biashara nzuri, wana wateja, wana followers wa kutosha, lakini hawajasajili jina la biashara yao.
Unaweza usione shida leo...
Ndugu waajiri ni muhimu sana kuwa makini na hawa watu kwenye Biashara zenu.
Msiwaamini kupitiliza wanawafukuzia wateja muhimu.
Ukiwepo mwenyewe wanakua wapole, ukiondoka wanafanya wanavojua wao.
Hawa ni moja ya vitu vinavyosababisha malalamiko katika huduma unayotoa. Fuatilia.
Mimi ninafanya shughuli za kujiajiri mwenyewe, kitu ninachoshangaa ni pale nikiwa na rafiki/marafiki, ndugu au wife halafu nikapigiwa simu na mteja wangu tukaanza kupatana bei.
Baada ya hapo piga ua garagaza hiyo kamwe haitafanyika hata iweje, jambo hili limekuwa linaniumiza kichwa muda mrefu...
Sijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma.
Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha...
Habari wadau, nikiwa Kama kijana naepambana katika kizazi hiki Cha teknolojia, Mimi ni mdau mkubwa Sana wa mitandao ya kijamii, na ni miongoni mwa watumiaji wazuri wa mitandao ya kijamii kujipatia kipato.
Moja ya vitu nilivyo vi observe na nikaona vinatugharimu Sana hasa kwenye mtandao wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.