Kinachoendelea sasa ni matumizi ya vyombo vya dola na rasilimali fedha kuhakikisha taratibu zote za uchaguzi zinakamilika ikiwemo wagombea kuchukua form, kuhakikisha maandalizo yote ya uchaguzi yanakamilika mpaka kufikia hiyo Oktoba 29, 2025.
Hata hivyo, ukweli ni kwamba, vyombo vya dola na...