Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewataka wananchi kulinda mazingira ya vyanzo vya maji kwa kuacha kukata miti ovyo na kufanya shughuli za kibinadamu ili kuepuka ukame.
Ametoa wito huo mara baada ya kutembelea mabanda ya maonesho wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani leo Juni 2, 2025...
Ukitembelea Nchi ya Japan kama mimi nilivyofanya Kuna mambo Mengi ya kushangaza kule😃!! Najua umeshtuka sio,
Nchi ya Japan miti haikatwi katwi hovyo hata kama Iko kwenye njia ya Eneo ambalo linapaswa barabara nyumba kujengwa, huweza kuhamishwa kwa uangalifu.
Badala ya kuharibu asili kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.