Ile dhana iliyojengeka ya kuwa andaa watoto wa kike kuwa omba omba imetuharibia kabisa kizazi cha sasa na kuongoza idadi ya singo mother na kupelekea kuwa na kizazi kisicho jua umuhimu wa baba;
1. Tunalea watoto wa kike tukiwaaminisha kuwa baba ndiye anatakiwa aendeshe familia kwa kila kitu
2...
Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu.
Ndugu zangu mimi ni mwanaume, miaka 40 natafuta mwanamke mwenye uhitaji wa mume ili kuishi maisha ya kumpendeza Mungu kwa kufunga ndoa na kujenga familia bora pamoja.
Elimu yangu ni ya Chuo, nina kibarua cha kunipatia kipato cha kuendesha familia vizuri...
Ni bora kumvumilia mpenzi wako huyohuyo aliyekukosea kuliko kuanza kuongeza idadi ya mliowahi kudate na hatimaye kuwa Malaya. Hivyo ni bora kuwa mvumilivu kuliko kuwa Malaya.
Mbarikiwe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.