kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PreGE2025 Mnyika: Rais Samia, Mkuu wa Mkoa wametuma Watu warushe drone kwenye majani baadae waseme hatujapata watu

    John Mnyika akiongea na wananchi wa Mbulu muda huu katika ziara yao ya Bila mabadiliko hakuna uchaguzi.
  2. Rais Samia kwa mwakilishi wa Urusi kwenye mkutano mkuu wa CCM: "You're grown up but still handsome"

    Wakuu, Huko Dodoma mambo yameendelea kuwa moto.
  3. PreGE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Ali Kawaida: Sio kila anayepotea, katekwa na vyombo vya dola!

    Wakuu, Wimbi la wanasiasa kutetea watekaji linaendelea! ================================================ Mwenyekiti wa UVCCM Mohamed Kawaida amebainisha kuwa sio kila mtu anayetekwa ametekwa na vyombo vya dola. "Niendelee kusisitiza kwamba siyo kila anayetekwa, Siyo kila anayekufa ametekwa...
  4. PreGE2025 Ukiachana na Musukuma, hawa ndio wabunge wengine 12 ambao wameishia darasa la 7. Mbunge wako yupo?

    Wakuu, Hivi karibuni nimeona watu wanalalamika kwamba tovuti ya Bunge inafuta CV za wabunge makusudi ili tusijue level zao za elimu. Sasa kabla hawajafuta, ni vyema tujue nani ni nani. Mule bungeni kuna wabunge wengi ambao waliruka umande. Yani mtu alisoma hadi la 7 tu after that akajikuta...
  5. PreGE2025 CCM yazindua rasmi Ilani yake ya 2025. Yaweka Katiba Mpya kama mojawapo ya agenda watakazozitekeleza!

    Wakuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu akishiriki Mkutano Mkuu Chama cha Mapinduzi CCM siku ya pili Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Dodoma, leo tarehe 30 Mei, 2025. Soma hapa Ilani > Ilani ya CCM 2025-2030 https://www.youtube.com/watch?v=yXnzuEg-DLk...
  6. B

    PreGE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Ali Kawaida: Nilishawahi kusema Mtandao wa X ufungwe ila watu walinibeza

    Mwenyekiti wa UVCCM Ali Kawaida akiongea hivi karibuni kwenye mkutano mkuu wa CCM jijini Dodoma ameendelea kushikilia msimamo wake wa kufungia mtandao wa X ambao aliutoa miezi kadhaa iliyopita "Nilishawahi kusema Mtandao wa X ufungwe ila watu walinibeza bila kujua nini nilichokuwa namaanisha...
  7. J

    PreGE2025 Dr Kigwangala achangiwa fedha za fomu ya Ubunge na wapiga Kura wake aweka wazi risiti kutoka Wakala

    Mbunge wa nzega vijijini Dr Kigwangala amechangiwa fedha za kuchukulia fomu za kugombea tena Ubunge Fedha hizo zimechangwa na wapiga kupitia wakala wa M pesa na kila kitu kiko wazi Ukurasani instagram Kigwangala ameandika "Leo nimejikuta nikiwaza na kushukuru. Nimehemewa! Ubunge ni kazi ya...
  8. PreGE2025 Tangazo la CCM la kua na Wanachama Milion 13 limetolewa kama Halalisho la Kura zao Feki CHADEMA tukomae kuzuia Uchaguzi !!.

    Hawa Wahuni hamna asojua walichokua wanakifanya kuandikisha Watoto wa Sekondari !!. Sasa leo mpenda Uongozi aloupata Uongozi Kwa Bahati, Kaja na Tangazo . Iko hivi CCM wangekua na Wanachama hao Mil 13 ,wasingeogopa Mabadiliko !!. CHADEMA ,hamna kushiriki uchaguzi wa kihuni ambao tayari Ma...
  9. PreGE2025 Mama Samia Support tupo tayari kumpigania rais Samia kushinda katika uchaguzi mkuu 2025

    Taasisi ya Mama Samia Support, inazidi Kusongesha Gurudumu la Rais Samia Kwa Kauli Mbiu ya ’Kazi Na Utu, Tunasonga Mbele’ Taasisi Hii Leo May 29, 2025 wamefanya Maandamano ya amani yenye Lengo la Kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
  10. PreGE2025 Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania yampongeza Rais Samia kwa kuonesha ukomavu wa kisiasa

    Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuonesha ukomavu wa kisiasa, huku ikimuomba kwa heshima asamehe kauli za matusi na udhalilishaji zinazotolewa na baadhi ya vijana kutoka nchini Kenya kupitia mitandao ya...
  11. PreGE2025 Ole Sendeka: Natamani Tundu Lissu atoke gerezani aje ashindane na Rais Samia

    “Mimi ningekuwa ni wakili ningekiomba chama changu kwenda kumsaidia, Tundu Lissu ashinde kesi namtamani sana angekuja kugombea na Rais Samia Suluhu kwa sababu sio tishio kwa namna yoyote ile” Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
  12. ACT Wazalendo wataka kamati ya maadili ya bunge kuwashughulikia wabunge waliowakashifu na kukejeli wanaharakati wa Kenya

    Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Ofisi ya Spika wa Bunge la Tanzania kuwajibika kwa kuwaita na kuwahoji wabunge katika Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, kufuatia kauli zilizotolewa na baadhi yao kutozingatia maadili ya uongozi, utu wala heshima ya chombo hicho muhimu cha kutunga...
  13. PreGE2025 Tetesi: Luhanga Mpina kutajwa kugombea Urais kupitia CHAUMMA 2025

    Kuna taarifa zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan kupitia jukwaa maarufu la JamiiForums, zikidai kuwa aliyekuwa Mbunge wa Kisesa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhanga Mpina, anapanga kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Maendeleo (CHAUMA)...
  14. PreGE2025 Boni Yai: Mbowe asikae pembeni kwani bado tunamuhitaji

    Wakuu, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob maarufu kama "Boni Yai" akiwa Kwenye Mkutano wa hadhara wa Chama cha Chadema Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro ameeleza kuwa Chama chake kinatambua mchango mkubwa wa Aliyekuwa Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, akimuomba asikae mbali na Chama...
  15. PreGE2025 Je, kutopewa kibali cha helicopter na uwanja kwa CHAUMA ni mwanzo wa figisu kwa chama hicho baada ya kuonekana kimeanza kupata baadhi ya mafanikio?

    Je, kutopewa kibali cha helicopter na uwanja kwa CHAUMA kule mwanza ni mwanzo wa figisu kwa chama hicho baada ya kuonekana kinaanza kutrend kuelekea uchaguzi ? Je, unafikiri CCM watakubali chama hicho kitrend zaidi na kufanya mikutano yake bila figisu ? Kama kutakuwa na figisu vipi na wale...
  16. Mzee Wasira huyu hapa

    Wiki kadhaa zilizopita kuna watu walimmisi Mzee Wasira wakawa wanauliza Yuko wapi? Leo kaibuka katika mkutano wa CCM huko Dodoma akiwa na nguvu zaidi, Ari zaidi na Kasi zaidi.
  17. L

    Kwa Wanachama Wake Millioni 13, CCM Ina Uwezo wa Kukusanya Billion 15 Na Millioni Mia 6 Ikiwa Kila Mwana chama atachangia Elfu Moja Mia 2 Kwa Mwaka

    Ndugu zangu Watanzania, Chama ni watu na watu ndio Ushindi wenyewe,chama ni wanachama na wanachama ndio nguvu ya chama ,chama ni uchumi na uwingi wa wanachama ndio uchumi wenyewe,chama ni Wafuasi na Wafuasi ndio nguvu ya ushawishi wa chama Ukiona CCM inaweka na kusimamisha mgombea na wagombea...
  18. PreGE2025 Tujikumbushe ahadi 10 za wana CCM

    Tujikumbushe kidogo ahadi 10 za wana CCM kwa chama chao. Zamani za Mwl. Nyerere kabla ya kupata kadi, wana CCM walitakiwa kuhitimu kwanza darasa la itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea. Siku ya kukabidhiwa kadi, ilihitimishwa kwa tamko la mwanachama mpya kuunga mkono ahadi 10 za mwana CCM. Hapa...
  19. PreGE2025 Mbunge Neema Lugangira ataka Ilani ya CCM ijayo izingatie maendeleo ya kidijitali na matumizi sahihi ya AI kwa manufaa ya Taifa

    Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Neema Lugangira, ametamani Ilani ijayo ya chama hicho izingatie kwa kina maendeleo ya kidijitali na matumizi sahihi ya Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) kwa manufaa ya taifa. Akizungumza na wanahabari katika viwanja vya...
  20. PreGE2025 Prophet Malisa: Mimi naliombea taifa la Tanzania na viongozi wote akiwemo Tundu Lissu

    Mtumishi wa Mungu Phophet Clear Malisa ametoa wito kwa watanzania kuilinda amani kwa gharama yoyote hasa katika kupindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu. Prophet Malisa akifanya mahojiano nje ya ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma alipokuwa amealikwa kwenye Mkutano...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…