Wakuu,
Mbowe amekuwa kama Sukuma gang lia lia, kazi ni kuongelea legacy tu, utafanyia nini chama.... aaah unajua nimetoa damu na kamasi kwenye chama hiki, nipeni niwaongoze tena :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKLaugh:
Mchango tumesikia hadi tumechoka, afu sio yeye tu ndio amejenga...