Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Bwana Isihaka Mchinjita amesema mwaka 2025 ni mwaka kuhakikisha kuwa vijana wa Tanzania hawatalia tena kutokana na ukosefu wa ajira na unyonyaji kazini.
Maneno hayo ameyasema leo Aprili 04, 2025 katika...