Halmashauri ya Mji Korogwe, Mkoani Tanga imedhamiria kuifanya shule Mpya ya Sekondari iyogharimu Milioni 584, 280,029 iliyopo kata ya Majengo kuwa ya Mfano kwa kuhakikisha Wanafunzi shuleni hapo wanaongoza kwa matokeo ya Ufaulu wa Mitihani pamoja na ubora wa Majengo ya Madarasa, Utawala, Tehama...