kristu

Kristu Jayanti College, founded in the year 1999, managed by "Bodhi Niketan Trust", formed by the members of St. Joseph Province of the Carmelites of Mary Immaculate (CMI). The college is affiliated to Bengaluru North University. The college is recognized by UGC under the category 2(f) & 12(B). The college was accorded autonomous status in 2013 by the University Grants Commission, Government of Karnataka & the Bengaluru North University. The National Assessment and Accreditation Council (NAAC) has accredited Kristu Jayanti College (Autonomous) with A++ grade.The college has been rated with a cumulative grade point average (CGPA) of 3.78 out of 4 in the third cycle of accreditation. it is the second institution in the country and the first in Karnataka to achieve the highest CGPA.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    Nje ya Biblia, Wataalam Wasomi wa Wakati wa Yesu Walivyomwelezea Yesu Kristu:

    Wapo watu wasijua historia ya Ukristo, mara kadhaa wamepotosha, na wengine hata kuthibutu Kueleza Kuwa Yesu Hakusulibiwa Msalabani kam biblia inavyoeleza. Na wengine hata kusema kuwa huenda hakuwahi kuwepo. Watu wanaoyanena hayo ni kwa vile wamekosa maarifa. Leo nawawekea maelezo yanayotoka...
  2. Kinyungu

    INRI= Yesu mfalme wa wayahudi

    Maandishi haya, I.N.R.I., yanatokana na Kilatini: Iesus = Yesu Nazarenus = Mnazareti Rex = Mfalme Iudaeorum = Wayahudi ambayo maana yake ni "Yesu wa Nazareti, Mfalme wa Wayahudi." Maneno haya yaliandikwa kwenye msalaba wa Yesu kwa amri ya Pontio Pilato, kama ilivyoelezwa katika Injili ya...
  3. Bams

    Kauli Mbiu ya CCM, ya Utu na Kazi, Imewapa Agenda ya Awali Wapinzani.

    CCM ndiyo inayoongoza Serikali. Lolote baya au zuri linalofanywa na Serikali, CCM inabeba uhusika mkuu. Jukumu la kwanza la msingi kabla ya mengine yote kwa Serikali yoyote halali Duniani, ni usalama wa wananchi wake. Katika kipindi hiki cha awamu ya 6, tumeshuhudia uovu wa ajabu kabisa wa...
  4. PROFOUND NOTION

    Wakristu wenzangu, nyie mnaombaje hadi kujibiwa maombi yenu. Tusaidiane kwa mapenzi ya kristu

    Nimefunga, nimeshirikisha, nimeomba alfajiri lakini bado tabu ninayopitia inaendelea kunitafuna. Tusaidiane wakuu.
  5. mose

    KITABU(FASIRI): The Aquarian Age Gospel of Jesus, the Christ of the Piscean Age

    Pendo Lililobarikiwa, Amani. Jamiiforums sasa imekuwa ni Jukwaa la Kijamii la watu kutoka rika na makundi mbalimbali; wenye shauku ya kupenda na kutaka kujua mambo anuai-- yenye kuipa sifa ya sura ya jamii yetu, namna hii ilivyo na kwa lugha yetu hii ya Kiswahili. Majadiliano, mashauri...
Back
Top Bottom