kitambi

  1. Naomba suluhisho la kuondoa kitambi

    Habari waungwana, Kama mada inavyoonekana hapo juu naomba mwenye kujua suluhisho la kuondoa kitambi anisaidie, nilijifungua kwa operation mwaka jana 11 na sikufunga tumbo sasa badala ya kuendelea kupungua ndo kwanza tumbo linazidi kukua nakosa raha jamani hasa ukitaka kuvunja kabati nguo...
  2. B

    Msaada namna ya kupunguza kitambi

    Wadau nimekuwa nikitumia njia kadha kupunguza kitambi ikiwepo kufanya mazoezi kwa bidii,kutokula vyakula vya mafuta kwa wingi na kufanya diet.Lakini naona juhudi zangu zinagonga mwamba naelekea mwaka bila mafanikio.Mwenye njia ya ziada anisaidie...
  3. Kitambi FC.

  4. Yafahamu madhara ya kitambi kwa wanaume

    Yapo madhara mengi Na hutofautiana kulingana Na jinsia, umri, Na umbo. Nayo ni; - Kukosa choo, kupata choo kigumu, - Constipation au choo kuganda - Bawasili kutokana Na mfumo wa chakula kuzongwa Na taka mwili hasa masalia ya vyakula visivyo mengenywa (insoluble wastes) - Kupungukiwa Nguvu za...
  5. Aliyefanikiwa kuondoa kitambi naomba anishauri

    Nimekimbia, nimeruka nk lakini nimeshindwa kabisa kukiondoa. Naomba wale ambao mlikuwa na kitambi mtoe maelezo hapa nini mulifanya ili kukiondoa?
  6. C

    Chia seeds bora na safi kwa bei ya nafuu

    Nauza chia seeds zenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu. 1kg inauzwa 17,000/- gharama za kuletewa utajitegemea. 3kgs na zaidi zinauzwa 1kg@16,000/- unaletewa popote Dar es salaam. 1/2kg inauzwa 10,000/- gharama za kuletewa unajitegemea. Zinafaa kwa matumizi ya tiba lishe, pia zinafaa kama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…