Mtengenezaji wa maudhui maarufu mtandaoni, Kiredio, ameingia kwenye trending kufuatia madai ya kuachana na mpenzi wake, Vee Dollar.
Baada ya taarifa hizo kuibuka, baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii wameanza kusambaza video zao za zamani, zilizorekodiwa kipindi ambacho Kiredio na Vee...
Mtangazaji na mwanamitandao maarufu nchini Tanzania, Juma Lokole, kupitia kipindi cha Wasafi FM, ameanika siri nzito na kuthibitisha kuwa mahusiano ya kimapenzi kati ya waundaji maudhui Kiredio na Vee Dollarz yamevunjika rasmi takribani miezi mitatu iliyopita. Lokole ameeleza kuwa amechoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.