kimara korogwe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. X

    Hivi KKKT Kimara Korogwe mtamaliza lini ujenzi wa miradi yenu?

    Mmeharibu sana mandhari ya eneo lenu kila mahali majengo na magofu hata parking, sehemu za garden, sehemu za kukimbilia dharura kama moto ukitokea hakuna? Aisee! Hivi mule kwenye jengo la kanisa waumini wanapata hewa ya kutosha kweli wakati wa ibada? Maana kanisa pande zote limezibwa na majengo...
  2. ndege JOHN

    Kero njia ya kimara korogwe

    Aisee hiki kinyang'anyiro cha foleni hapo korogwe NI hatari kwanin tahmini haikufanyika kuhusu ujenzi utakavyoathiri hii Barabara yaani kutokea maji chumvi ikifika saa moja unaweza ukashanga Morogoro road unaigusa saa tatu. Njia ndogo na kila mtu anataka kupanua apite hasa bajaji imagine foleni...
  3. Heparin

    DOKEZO Vibaka wanaotumia boda wanakata watu mapanga Mchana kweupe maeneo ya Kimara

    Matukio ya kihalifu yameanza kurejea tena kwenye baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa leo nitazungumzia yanayoendelea Kimara Korogwe, njia ya kuelekea KAM College kupitia mji mpya. Ndani ya mwezi mmoja kuna watu wawili wamekatwa mapanga na vibaka wanaotumia bodaboda. Matukio haya yote...
  4. M

    KERO Rais tunaomba utoe maagizo TANROADS kuja na mkakati wa kupunguza foleni Kituo cha Kimara Korogwe

    Mheshimiwa Rais na mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan, kwa kuwa umeamua chini ya utawala wako kuhakikisha Jiji la Dar linakuwa na miundombinu ya uhakika na uthibitisho na kwa jinsi jiji lote lilivyosheni vifaa vya ujenzi wa barabara. Kwa kuwa Morogoro Road ndio barabara kuu kwa nchi yetu...
  5. N

    KERO Responded Kuna mgawo mkali wa maji unaoendelea kimyakimya jijini Dar, Waziri Aweso unafahamu hili?

    Jiji la Dar es salaam linapitia mgawo mkali wa maji unaoendeshwa kimyakimya huku ukitesa watu wengi. Mathalani, katika uchunguzi wangu kupitia ndugu zangu wanaoishi maeneo mbalimbali ya jiji hili nimebaini maeneo yote ya Kimara, Ubungo, Mbezi, Gongo la Mboto, Kinyerezi, Tabata, Bonyokwa...
Back
Top Bottom