kielimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    JamiiForums Tanzania SoC02 Sababu zitakazochochea mabadiliko katika nyanja za kielimu, utawala, kilimo,afya, uchumi, sayansi na teknolojia

    Mabadiliko katika nyanja za kielimu, utawala,uchumi, afya,kilimo sayansi na teknolojia yanaweza kuchochewa na sababu zifuatazo. Uzalendo. Uzalendo ni miongoni mwa sababu kubwa sana inayoweza kuchochea mabadiliko katika nyanja mbalimbali. Mfano, katika nyanja ya elimu kama walimu na baadhi ya...
  2. Really Kamodo

    JamiiForums Tanzania Jambo lipi ni muhimu kufanya ili kumuinua kielimu kijana ambaye ni taifa la kesho?

    Tumekua tukikalilishwa sana Watanzania kwamba elimu ni ufunguo wa maisha. NDIYO Elimu ni ufunguo wa maisha, lakini pia tukumbuke kwamba Elimu hiyo tunayowapa vijana wetu inawajenga vipi kifikra vijana wetu. Je, inawasaidia au ndio inawaharibu kisaikorojia? Tunajua hakuna jambo lenye faida tu...
  3. Dr Msaka Habari

    JamiiForums Tanzania Watoto wanaoishi mazingira magumu kunufaika kielimu

    Shirika la Kimataifa lisilo la Kiserikali The Foundation For Tomorrow limeendelea na programu ya kutoa elimu bora kwa watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kwa kuwasaidia udhamini wa masomo, kuanzia ngazi ya elimu ya awali hadi kidato cha sita ili waweze kujikwamua kimaisha. Hayo...
Back
Top Bottom