Kherson (Ukrainian: Херсо́н, pronounced [xerˈsɔn] (listen); Russian: [xʲɪrˈson]) is the administrative centre of Kherson Oblast in the south of Ukraine, and it is a major economic centre. Kherson is an important port on the Black Sea and on the Dnipro River, and the home of a major ship-building industry. It is the centre of Kherson Raion and hosts the administration of Kherson urban hromada, one of the hromadas of Ukraine.Since March 2022, the city has been occupied by Russian forces during its invasion of the country as part of the Kherson military–civilian administration. As of 2021, it had a population of 283,649 (2021 est.) The great majority, according the last (2001) census, were ethnically Ukrainian. The Ukrainian authorities estimate that since the invasion 45% of inhabitants have fled the city.
Msimu huu wa kiangazi, kuna harufu ya counteroffensive inanukia nchini Ukraine, kwani matukio yanayotokea Kherson na Bakhmut yanatazamiwa kusambaa kote nchini na kuunda mkondo wa mashambulizi yajayo.
Kama wewe ni mwanajeshi wa jeshi la Urusi na unataka kusalimu amri kwa jeshi la Ukraine...
Baada ya kuonjeshwa dozi kidogo tu Waukraine wamenza kuondoa watu huko Kherson, Russia ilisema mazingira ya mji mdogo wa Kherson si mazuri katika mazingira ya kupigana makombora. Tactical withdrawal ilikuwa muhimu sana...!!
Soma:
Watu wanaweza pia kuhamishwa kwa mabasi kwenda Odessa, Nikolayev...
Urusi walipopiga mabomu na kuteka mji wa Kherson, walisema wameukomboa, ila baada ya wazalendo wa Ukraine kutembeza kichapo cha kuwaondoa, wananchi wamepokea na furaha sana maana ndio ukombozi haswa..
Tears as first Kyiv train arrives in freed Kherson
Tears as first Kyiv train arrives in freed...
Haya tuone kama rais atanasa kwenye mtego wenu, mlisema Urusi ametoroka ili kuwavuta Ukraina waingie kichwa kichwa kwenye mtego, fanyeni sasa.
Nakumbuka hata wakati Warusi wanaikimbia Kyev mlisema ni mtego fulani hivi...hii mitego lini itanasa, maana kila Mrusi akitoroka sehemu mnasema mtego...
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama...
Waandishi wa habari wa CNN NA SKynews wamevuliwa wadhifa kwa kuripoti kutokea mji wa Kherson unaotajwa kukombolewa na Ukraine. Ukiacha waandishi hao mashirika mengi mengine ya Ukraine na nchi za nje yamewakemea waandishi wao kwa kosa hilo hilo.
Kisingizio kilichotolewa na mashirika hayo ni...
Nahisi waliopiga kura kujiunga na urusi ni mamluki wale 70000 waliohamishwa kwenda urusi maana sasa shangwe kila kona kushangilia ushindi wa kutwaa tena kherson kutoka mikononi mwa wavamizi.
Wizara ya ulinzi ya urusi imesema majeshi yake yanajiondoa katika mji huo ili kupunguza madhara kwa vikosi vyake na kuokoa maisha ya raia wake.
urusi iliuchukua mji huo kutoka ukraine kupitia kura ya maoni mwezi uliopita ya kujitenga na ukraine.
ukiani haiitambui kura hiyo na imesema itatumia...
Mji wa KHERSON ambao Ni miongoni mwa majimbo 4 yaliyonyakuliwa na Urusi umekumbwa na mashambulizi makali ya Maroketi kutoka kwa wanajeshi wa Ukraine.
Mashambulizi hayo yameharibu kabisa Njia tatu za usafirishaji umeme na maji na kusababisha mji huo kukosa umeme na maji.
Hayo yanajiri huku...
Afisa mmoja mwandamizi wa Ukraine amesema Urusi inajiandaa kwa "mojawapo ya mapambano makali" katika eneo la kimkakati la Kherson lililoko kusini mwa Ukraine.
Haya yanafanyika wakati ambapo Urusi inajiandaa kuutetea mji mkubwa ulio chini ya udhibiti wake nchini humo.
Wanajeshi wa Urusi...
Ili kuepuka kupoteza maafisa wa kijeshi kwa moto unaokuja wa wazalendo wa Ukraine, imeamua kuwaondoa na kuacha wanywa gongo waliosaili juzi wajifie ili watumike kuchelewesha mapigo ya Ukraine......
Russian military officers have withdrawn from Kherson as Moscow prepares for a Ukrainian...
Hakuna kuachia, moto ni ule ule....
Ukrainian troops have broken through Russian positions on the Dnieper river north-east of Kherson, a strategic Russian-held city in southern Ukraine.
The advance was reported by the Russian military and Russian-installed officials in the region. There is...
Muda huu Putin ana-sign kuzikalia mikoa minne iliyo ndani ya Ukraine.
Hii inaonyesha wazi Russia ni taifa lenye nguvu sana dhidi ya watu wa ugaibuni, wangekua waafrika au waarabu, America ingesha wachakaza vibaya.
Putin ni mwenye uwezo mkubwa wasiouweza ama utakao wasumbua sana.
===========...
Jameni Ukraine wanapambana na kunifurahisha hadi naumwa, kainchi kadogo saizi ya mkoa wa Urusi ila wanajituma kama mchwa, wamekubali kujitoa mhanga ili wakomboe ardhi yao kwa ajili ya vizazi vya kesho.
Habari zimfikie Putin popote alipo kwamba hata akiua mamilioni ya wa-Ukraine, lazima wafike...
Himars kwa kwenda mbele,
On Saturday, the Ukrainian armed forces said on its Facebook page that Russia had lost an additional 25 tanks, taking the total number of such vehicles reportedly destroyed since the start of the full-scale invasion on February 24 to 2,034.
In its daily update, Ukraine...
Na humo wameuawa kweli kweli pamoja na zana zingine lukuki, ni mwendo wa mbele kwa mbele, Ukraine wanajitoa mhanga vizazi vya kesho vitaendeleza jamii ila lazima wakomboe ardhi yao.... HIMARS zinarindima balaa.
Mrusi anajutia kishenzi, hajui pakutokea maana wanajeshi wenyewe wa Urusi hawana...
Hali inazidi kuwa balaa, Kherson kunawaka moto, Warusi wameingiwa na msongo wa mawazo hawajui wanachopigania kwenye nchi ya watu, huyu kalewa mipombe na kufanya yake kwa wenzake......
A Russian soldier shot dead two FSB officers in occupied Kherson after he was caught swigging alcohol while in...
Moto unaowaka Kherson siyo mdogo, yaan sijui watu wanapataje data za waliokufa ,na vifaa vilivyoaribika.
Mahojiano yalifanywa kwa wanajeshi 7 wa Ukraine ambao walipata majeraha na wako katika uangaliz wa kiafya.
Mambo waliyofichua ni mazito, wanadai kiukweli hali ya vita Kherson ni kama...
Urusi baada ya kuteka mji wa Kherson, walipata jeuri hadi ya kusimika makao makuu na kujichimbia, sasa kibao kimegeuzwa, operesheni fagia fagia na kufyatua, Ukraine wanakomboa ardhi ya mababu zao.....
makombora ya HIMARS yanachana anga.
AUkrainian strike in occupied Kherson on Tuesday morning...
Kibao kimegeuzwa, Mrusi aanza kupokea mapigo kwenye nchi aliyokua anajaribu kuparamia....mbele kwa mbele...hongereni Ukraine, hata kama mtauawa ila ni nchi yenu, taifa lenu, ardhi yenu, bendera yenu....vizazi vijavyo vitasoma kwenye historia namna mashujaa mlipambana na kumfukuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.