keyboard warriors

Keyboard warrior is a term that refers to a person who makes abusive or aggressive posts on the internet, typically one who conceals their true identity.

View More On Wikipedia.org
  1. Ghayo El Yehudi

    Uzi Maalumu wa kuwatag Keyboard warriors watupe mrejesho na kujikumbusha mikwara Yao humu

    Mzuka wana Jamvi ? Miezi kadhaa ilikuwa ukichungulia Jf na mitandao mingine Keyboard warriors kusema wameupiga mwingi sana kwa upande wa Kushambulia kupitia keyboard hatuwadai wameuwasha moto kisawasawa mpaka ikawa unadhani kama hawa ni Makamanda na nchi itaenda kukombolewa Tarehe 29 kama...
  2. Ghayo El Yehudi

    Naahidi haya ikiwa malengo ya maandamano yatafanikiwa au Keyboard warriors wakikinukisha Oktoba 29

    Mzuka wana Jamvi . Kama tunavyojua kawaida wabongo ni wazuri wakishambulia kutokea mitandaoni na katika real life ikiwa kwa njia ya usengenayji kwa ufupi wabongo ni 'Ignorant Cowards ' Kujikuta Fidel Castro kutaka kukomboa kwa njia ya fujo na kukurupuka k ilhali kumejaa wapuuzi na upuuzi...
  3. MamaSamia2025

    Ninawapongeza keyboard warriors wote kwa kutunza amani

    Nitakuwa mbinafsi nisipochukua hatua ya kuwapongeza keyboard warriors wote humu nchini hasa hapa JamiiForums kwa kuishia kubwabwaja mitandaoni na sio kufanya matukio maovu kama yanayofanywa na vijana wa nchi jirani. Ninawasihi keyboard warriors waendelee kulinda amani ya nchi kwa wivu mkubwa...
  4. Mwambawetu

    To all keyboard warriors in and out of the country

    1/ Keyboard warriors and false Heroism; People who pretend to be strong while hiding abroad, waging their struggles behind a keyboard, often see themselves as heroes. Yet, their greatest skill is explaining what they can't do while ignoring reality. Falsafa: 2/ These keyboard fighters seem to...
  5. Mpwayungu Village

    Vijana wa kitanzania ni 'Keyboard Warriors'

    Serikali ya CCM itazidi kututesa kwasababu sisi ni waoga. Taifa linajengwa na vijana sio wazee, sasa sisi tunaishia kuandika mitandaoni tu kuandamana zero Kuandamana tunaogopa, tuna fikra potofu kwamba suala la kutetea hili taifa lipo mikononi mwa Mbowe na Tundu Lissu na sio watanzania wote...
Back
Top Bottom