Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenan Kihongosi, kimeishauri Serikali kuangalia uwezekano wa kutoa ruzuku kwenye mafuta. Hatua hiyo inalenga kupunguza gharama za nishati hiyo nchini ili kumpunguzia mwananchi mzigo wa maisha
"Chama Cha Mapinduzi (CCM)...