Wakuu, mnaendeleaje humu? Naamini Mungu anaendelea kuwapigania.
Kuhusiana na mada tajwa hapo juu, natafuta kazi katika sekta ya IT. Nina ujuzi katika Linux Server Administration, Database Administration, Computer Networking, na misingi ya Usalama wa Mfumo (System Security Basics).
Ikiwa kuna...