kazi tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    Mwenzangu amepata kazi Tanzania

    Yupo na watoto watatu na mke anataka kuja Tanzania mshahara ni 400,000 Tsh anaeza ishi wapi Dar kwa mhindi
  2. Fbn

    Starlink inafanya kazi Tanzania, mkibisha muulizeni Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa

    Huwezi kusema umebinya uhuru halafu mpaka nyumba yako unayotumia dishi la tv kuangalia tv kusema umebinya. Msigwa najua upo hapa JF ila kumbuka kwa sasa kuna vifaa vinatumia hata TCRA wako na miradi wako wana habari tunazipata, Wakuu mimi natumia hiki kifaa hapa Tanzania malipo nalipa ya...
  3. jangoma

    Je NordVpn inafanya kazi Tanzania

    Wadau hamjambo, je nord vpn inaconnect vizuri ukiwa Tanzania au na yenyewe imeblockiwa?
  4. Genius Man

    Watu wenye tamaa za madaraka ni watu dhaifu sana kuliko wanavyo chukuliwa na kuogopwa hawana hekima yoyote na hawana akili

    siasa za kimagharibi ni wazi bado haziwezi kufanya kazi hasa anapotokea kiongozi mwenye tamaa za madaraka huku africa. Watu wenye tamaa za madaraka wanatumia kivuri cha demokrasia kufanya mauwaji, utekaji na ukandamizaji wakijificha kwenye kichaka cha demokrasia na amani ili kusalia madarakani...
  5. BLACK MOVEMENT

    Hivi ndivyo Wakenya wanavyo tafutiwa kazi Tanzania, nyie mkisugua benchi na mkingoja Mbowe aandamane kuwatetea

    Hizi ni kazi ambazo zinaweza sana fanywa tu na Watanzania, ila sasa sijui ni wawekezaji au la, wanatafuta Wakenya, na inaonekana hawataki Watanzania. Tena analipwa pesa nzuri na nyumba bure na Chakula na matibabu. Haya yako sana kwenye utalii huko ndio usiseme, unakuta hadi Wahasibu ni...
  6. econonist

    Kwanini Mahakama Maalum ya Katiba haijawahi kufanya kazi Tanzania?

    Nina swali kwa wadau wa JF. Ukisoma Ibara ya 125 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuna mahakama Maalum ya Kikatiba ilianzishwa, ila mahakama hiyo haijawahi kufanya kazi au kusikiliza shauri lolote. Je, ni sababu gani inazuia mahakama hiyo Maalum ya Katiba kutowahi kusikiliza...
  7. BARD AI

    Prof. Mukandala: Meli ya MV Bukoba ilifanya kazi Tanzania kwa miaka 17 bila kusajiliwa na haikupaswa kuletwa nchini

    Aliyewahi kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Rwekaza Mukandala amezitaja sababu mbalimbali zilizosababisha kuzama kwa meli ya Mv Bukoba kwa kurejea maandiko, hotuba, tafiti, hukumu za kesi zilizohusu sakata hilo. Profesa Mukandala ameyasema hayo leo Jumanne Mei 21...
  8. Jamii Opportunities

    Various Posts at CBE March, 2024

    he College of Business Education was established by the College of Business Education Act CAP 315 R.E. 2002 (CBE Act). It is a Public Higher Learning Institution which provides Teaching, Research and Consultancy Services in the fields of Accountancy, Procurement and Supplies Management...
Back
Top Bottom