kariakoo derby

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Video: Timu ya Yanga tayari imewasili uwanjani Mkapa, ila ndani hakuna mashabiki wametolewa

    Wakuu Yanga tayari wamewasili uwanjani benjamin mkapa, ila ndani hakuna mashabiki wametolewa. Soma, Pia Licha ya mechi kuahirishwa, Yanga watuma Kikosi chao kwa TFF wakisisitiza mchezo upo Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba Ahmed Ally awaomba radhi...
  2. Allen Kilewella

    Msikilize Manara anavyoizungumzia Deby

    Haya mambo yapo jinsi yalivyo. Kama kuna kanuni ni lazima ifuatwe janja janja ni uhuni kwenye mpira. Flash back!
  3. Gudasta

    TFF toeni tamko kuhusu mechi ya Yanga vs Simba watu waendelee na mishe nyingine

    Toeni tamko mapema, ili watu wajue Nini kinaendelea, watu wana ratiba zao za mambo yao ...kama mechi hamna utaarifuni umma mapema.
  4. M

    Uongozi wa Yanga uhusike na kulipa gharama zote za kuharibu mechi ya Derby iliyotakiwa kufanyika hivi leo. Uhuni kwenye soka haukubaliki

    Ahlan bik Football ukipenda iite Soccer ni mchezo wa kiungwana sana unaozingatia sheria , kanuni na taratibu zilizowekwa na shirikisho la mpira duniani kwa maana ya FIFA na shirikisho la mpira katika nchi husika. Kanuni zipo wazi kabisa na uongozi wa Yanga unafahamu fika kuwa timu ambayo...
  5. Mbabani

    TFF & Bodi ya ligi watakuwa dhaifu mbele ya Simba na Yanga hadi lini?

    Salam wapenda "kandanda". Kwa muda mrefu shirikisho la mpira wa miguu Tanzania limekuwa dhaifu inapotokea inshu ya SIMBA & YANGA. TFF na bodi ya ligi (bodi dhaifu kabisa) wanakua tayari kuvunja kanuni na sheria walizotunga wenyewe ili kuwanufaisha SIMBA & YANGA . Hii derby ya 08/03/2025 Simba...
  6. GENTAMYCINE

    'Jeuri' ya Klabu ya 'Yanga' na 'Makomandoo' wake inatokana na huyu Mstaafu na hawa Viongozi Waandamizi wa Serikali ya Rais Samia

    1. Rais Mstaafu Kikwete 2. Makamu wa Rais Dk. Mipango 3. Waziri wa Fedha Dk. Nchemba 4. Waziri Mavunde 5. Waziri Kikwete 6. Msemaji wa Serikali Msigwa 7. Mkuu wa Mkoa DSM DC Chalamila Laiti hawa Wachache niliowataja hapa (pamoja na wengine ndani ya Chama CCM) wasingekuwa wanaonyesha wazi wazi...
  7. Waufukweni

    Hiki hapa Kikosi muunganiko (combined XI) Yanga vs Simba kwa kuzingatia form na balance!

    Wakuu Bado saa kadhaa kuelekea Kariakoo Derby! Mechi ya miamba wa soka la Tanzania (Yanga SC vs Simba SC) inakaribia, na Hans Rafael mchambuzi wa Soka ametengeneza muunganiko wa kikosi cha kwanza kwa kuzingatia form na balance kuelekea mtanange huo. Hans Rafael - Crown FM Naomba kuona...
  8. CAPO DELGADO

    Fadru Davis, nimekuita mara tatu bila hiki kikosi hutoboi March 8. Pokea ushauri wa bure

    Kuelekea Siku ya Jumamosi nimeona nimshauri kocha Fadru kupitia hili Jukwaa la Jamii Forum. Ninaamini hapa JF kuna viongozi wa simba, Wanachama, Mashabiki na wapenzi wa simba watamfikishia Kocha kwa namna Moja Aman Nyingine. Baada ya Kocha Fadru Kupoteza Michezo miwili dhidi ya Mshindani wake...
  9. upupu255

    Yanga wameshinda derby 3 kati ya 4 za mwisho alizochezeha Ahmed Arajiga

    Takwimu zinaibeba Yanga, mechi za derby za mwisho alizochezeha Ahmed Arajiga Mwamuzi Ahmed Arajiga amechezesha michezo minne ya derby kati ya Yanga na Simba, ambapo Yanga wameshinda mechi tatu na moja Simba. Hizi ni takwimu za matokeo ya michezo aliyochezesha Arajiga: Yanga 2-1 Simba...
  10. mwehu ndama

    Maono: Yanga SC anashinda kwa kishindo tena

    Hayaa ni maono niliyoshushiwa Mimi mwehu, katika njozi na wenye mamlaka ya DUNIA kuhusu mchezo wa tarehe 8 march 2025, baina ya Yanga sc dhidi ya Simba sc. Nami kwa unyenyekevu mkubwa nayaleta kwenu enyi wakuu!! Katika maono haya, wachezaji wa bwanyenye Mo dewj, wanaonekana ni wenye hofu kuu...
  11. Meja Jenerali Isamuhyo

    Bashiri utabiri wako kuelekea Kariakoo Derby

    Tuone kipawa chako cha ubashiri. Kuelekea mchezo wa weekend hii, Yanga Vs Simba, tabiri matokeo yatakuaje. Mimi naanza Yanga 1-3 Simba, Tutakuepo
  12. upupu255

    Mbunge Tarimba atoa ya moyoni kuhusu Dabi ya Kariakoo, awataka marefa kutenda Haki

    Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na Shabiki mkubwa wa timu ya Yanga SC Mhe. Tarimba Abbas kupitia mahojiano aliyofanya na ITV Digital ametoa maoni yake kuelekea kwenye Dabi ya Kariakoo kati ya timu ya Yanga SC na Simba SC. Kwenye Mazungumzo hayo Mhe. Tarimba amewataka marefa kutenda haki na kusema...
  13. GENTAMYCINE

    Jumamosi ndipo wote mtakubaliana nami kuwa Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC 100% tukishatoka kupewa Kichapo cha uhakika

    Na ninasisitiza tena sina Chuki nae kama Mwanahabari mwenzangu, ila simkubali kwakuwa ninamjua ni Yanga SC 100%.
  14. DELETED ACCOUNT

    Kwanini iitwe Kariakoo Derby wakati ni timu ya Simba SC pekee iliyo Kariakoo?

    Mada zangu zina kawaida ya kuwa mbele ya muda. Ukija kibishibishi muda utakuumbua. Kuna siku nilihoji uhalali wa kusema ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora Africa, wengi wakanibishia bila chanzo cha kuaminika cha hiyo ranking. Matokeo yake sasa hivi, kila mtu, kuanzia mashabiki, wachambuzi hadi...
  15. Area 56

    Kariakoo derby kupigwa Saa 1:15 usiku jumamosi, TFF wamezingatia kweli Usalama wa mashabiki?

    Mechi ya watani Simba Vs Yanga itapigwa saa 1:15 usiku kutokana na sababu za mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Mechi ikianza Saa 1:15 maana yake itaisha saa 3:00 usiku Vipi usalama kwa mashabiki watakaojitokeza na ambao wengine huambatana na familia zao, TFF wamezingatia kweli suala la usalama?
  16. Pdidy

    Yanga kuweni makini, baada ya makelele kwa marefa sasa Wasaidizi ndio wanaenda kuharibu mechi yetu. Msijisahau

    BAADA ya MAKELELE kwa marefa na baadhi yao kuanza kuchezesha bila penalty Wala REDcard Sasa kuna plan "B" inakuja dhidi ya tar 8 Refa atachezZesha vizuri sana na hakuna AMBAE atatoka akimlalamkia Kinachokuja mjiandae na WASAIDIZI WAMEJIPANGA na wamepangwa kuwaumiza Na njia Moja wapo n...
  17. M

    Kuanzia kesho Jumatatu nitakuwa natoa salamu kwa wahusika wafuatao kuelekea Derby ya tarehe 8 Machi 2025, ama hakika Ubaya Ubwela

    Kuelekea mchezo wa Derby tarehe 8, kuanzia kesho nitakuwa naachia salamu mbalimbali kwa wahusika wafuatao: Tarehe 3 nitatoa salamu kwa uongozi wa Simba Tarehe 4 nitatoa salamu kwa benchi la ufundi na ushauri wa namna kikosi kinachopaswa kucheza kulingana na unajimu wang Tarehe 5 nitatoa...
  18. G

    MAONO: Kariakoo Derby

    Mechi itaisha kwa sare ya magoli.
  19. Lycaon pictus

    Kuna haja na sisi kuwa na Halftime show kwenye Kariakoo Derby?

    Kuna weza kuwa na faida iwapo tutakuwa na halftime show ya muziki kwenye Kariakoo Derby kama ambavyo US wanayo kwenye superbowl?
  20. MwananchiOG

    Wako wapi wachezaji hawa? Hawaonekani tena tangu Kariakoo derby

    1. Hussein Kazi mbovu 2. Kelvin kijilimo cha mbogamboga 3.Aishia hewa Manula . . . NEXT ; Kisia nani?
Back
Top Bottom