kanisa la gwajima lafungiwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PostGE2025 Polisi wameiba pesa kwenye Kanisa la Askofu Gwajima? Sikiliza shuhuda

    Baada ya kufunguliwa kwa Makanisa ya Ufufuo na Uzima ya Askofu Gwajima, imeripotiwa kuwa vitu vingi vimepotea, ikiwemo mali kadhaa na fedha zilizokuwa zimehifadhiwa kwenye sanduku, hasa katika kanisa la Dar–Ubungo. Sikiliza shuhuda akieleza vitu vilivyoibiwa wakati kanisa hilo lilipokuwa...
  2. J

    PostGE2025 Serikali yaagiza Kanisa la Gwajima (Ufufuo na Uzima) lifunguliwe

    Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amemuagiza Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, kulifungulia Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, ambalo lilikuwa limekumbwa na changamoto za kiuendeshaji. “Limetokea tukio kubwa hapa, naye ametoa msamaha. Na sasa ametoa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    Pingamizi dhidi ya kanisa la Gwajima latupiliwa mbali

    Maombi ya waumini wa kanisa la Ufufuo na uzima lilichini ya Askofu Gwajima, kama yameanza kujibiwa na Mungu walikuwa wanamlilia tangu kanisa hilo lifungiwe. =============== Nuru imeanza kuonekana baada ya Leo Septemba 23, 2025 pingamizi lililowekwa na ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Askofu Gwajima: Naombeni ndani ya siku 10 fungueni Makanisa ya Ufufuo na Uzima, msipofungulia nitasema neno ambalo watu watastaajabu!

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima amesema ndani ya siku 10 serikali ifungue Makanisa ya Ufufuo na Uzima, lakini yasipofanyika hivyo atasema neno ambalo watu wote watastaajabu! Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!
  5. LIKUD

    Ukweli usemwe; Strategists wa serikali ya Samia wapo very smart, wamefanikiwa ku counter issue ya Kanisa la Gwajima kwa viwango vya juu sana

    Issue ya serikali kufungia makanisa ya Gwajima, ilileta impression kwa wa Tanzania wa kawaida kwamba " Rais ana uchukia Ukristo" , Jambo ambalo si kweli. Serikali ililifungia kanisa la Gwajima kwa sababu za kisiasa hiyo ni namba 2 lakini namba moja ni Gwajima kuwa " Msaliti" Kwa chama chake...
  6. Mkalukungone Mwamba

    TLS yalaani shambulio dhidi ya waumini wa Kanisa la Ufufuo na uzima (Glory of Christ Tanzania), yataka haki ichukue Mkondo Wake

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya shambulio dhidi ya waumini wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima. Tukio hilo lilitokea eneo la Ubungo, Dar es Salaam, tarehe 29 Juni 2025, wakati waumini walipokusanyika kwa...
  7. Waufukweni

    Apostle Bushiri amkaanga vibaya Mchungaji Hananja: kiongozi wa Dini anakuwa Chawa, unatoa ushauri wa Kipumbavu!

    Apostle Mtalemwa Bushiri akiwa kwenye Ibada alikuwa na haya ya kusema kufuatia Kanisa la Askofu Gwajima kufungiwa na Mamlaka. Soma: Mchungaji Hananja achukizwa na kauli ya Askofu Gwajima kumwita Mbunge wa kinondoni Abbas Tarimba "Ponjoro" Akizungumza mbele ya waumini, Bushiri hakuficha hisia...
  8. Waufukweni

    PreGE2025 Kigwangalla: CCM haijasema chochote kuhusu Gwajima, Chama haikimzuii mtu kuhoji

    Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla, akizungumza na Clouds TV, Juni 18, 2025, amesema; "Chama cha Mapinduzi CCM hakimzuii mtu kuhoji. Mtu yoyote anaweza kuhoji chochote na hakatazwi yoyote. Mfano Luhaga Mpina anaongea ulishawahi kusikia amekatazwa na mtu kuongea? Hata juzi ameunga...
  9. Waufukweni

    Mzozo mkali umeibuka baina ya Waumini wa Kanisa la Askofu Gwajima na Polisi, wahoji Uhuru wa Kuabudu uko wapi?

    Mzozo Mkali umeibuka baina ya Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima (Glory Of Christ Tanzania Church) na jeshi la polisi. Mzozo huo ni baada ya jeshi la polisi kuwataka waondoke eneo walilokuwa wakiabudia na kutawanyika jambo ambalo waumini hao wamelikataa.
  10. R

    Waumini wa Askofu Gwajima wapiga maombi nje ya Kanisa – Ubungo wakati Polisi wakiwazuia kuingia Kanisani

    Baaada ya Gwajima kutangaza jana kuwepo ibada Jimbo kuu la Dar es Salaam eneo la Ubungo leo Juni 15, 2025 Tangazo hilo lilifuatwa kwa tukio la Polisi kuzingira Kanisa hilo na waumini kuonekana kufanya ibada mbali na Kanisa baada ya kuiwa na Polisi kufanya ibada ndani ya Kanisa === Wakati...
  11. Waufukweni

    Askofu Gwajima kuongoza Ibada ya Jumapili Juni 15, itafanyika Jimbo Kuu Dar Saa 4 Asubuhi

    Wakuu! Kesho Ibada ipo na itaongoza wa na Askofu Gwajima baada ya kutangaza ukurasa wake rasmi wa Instagram kuwa atakuwepo kwenye Ibada ya Jimbo kuu la Dar es Salaam Jumapili Juni 15 na itaanza saa 4 Asubuhi Pia, Soma Peter Kibatala: Barua ya kulifungia Kanisa la Askofu Gwajima si halali na...
  12. Waufukweni

    Askofu Machumu wa Gwajima asema Kanisa lao halijafungwa, waapa kurejea kanisani Jumapili

    Askofu Maximillian Machumu wa Kanisa la Askofu Gwajima, Glory Of Christ Tanzania Church amesema Jumapili wataendelea na Ibada kama kawaida kwasababu Kanisa lao halijafungiwa "Nafasi ya kujitetea hatujapewa, kwahiyo tuna-confirm wazi kwamba Kanisa letu halijafungwa na kwasabau hiyo kwa kuwa...
  13. Waufukweni

    Maaskofu na Wachungaji zaidi ya 1200 wa Kanisa la Askofu Gwajima watinga Mahakamani Dodoma

    Maaskofu na Wachungaji wanaohudumu kupitia Kanisa la Glory Of Christ Tanzania Church(Ufufuo na Uzima) 'kanisa la Gwajima' wakiingia na kukaa katika chumba cha mahakama hapa katika Mahakama Kuu Tanzania Kanda ya Dodoma kwa ajili ya kufuatilia shauri la kanisa wanalohudumu ambalo limezuiwa kutoa...
  14. DuaZaMama

    Maaskofu 500 wa Kanisa la Ufufuo na Uzima watinga Mahakamani kufuatilia kesi ya Kanisa kufungiwa

    Mawakili wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania, Peter Kibatala na Gloria Ulomi wakiwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma kwenye kesi ya kupinga kufutwa kwa kanisa hilo. Wengine ni viongozi wa dini mbalimbali wakiwemo wa kanisa hilo waliofika kusikiliza shauri hilo. Msajili wa Jumuiya za...
  15. Z

    Askofu Gwajima omba msamaha, siku ya mahubiri yako kanisani juu ya utekaji ulimkosea Mungu na Rais

    Mimi nakupenda sana tangia kipindi cha covid 19. Misimamo yako naipenda sana ikiwa unasema ukweli. Siku unahubiri kanisani kuhusu utekaji nilikuwa nakufuatilisa vizuri. Tangia unaingika kanisani nilikufuatilitia vizuri. Lakini mh Askofu niliingiwa na hofu kuu sana nikajiuliza hiki nini...
  16. F

    Gwajima kanisa lako limefungiwa kwasababu lina muonekano wa kumilikiwa na mtu binafsi

    Ungekuwa ni askofu wa Kanisa Katoliki, Gwajima ungebanwa wewe binafsi na sio kanisa lako kufungiwa. Lakini kwa kanisa la Ufufuo na Uzima la askofu Josephat Gwajima, haya yamewezekana kwasababu kanisa lako lina muonekano wa taasisi inayomilikiwa na mtu mmoja (mali ya mtu binafsi). Ndivyo yaliyo...
  17. Waufukweni

    Peter Kibatala: Askofu Gwajima yupo mafichoni, mteja wangu hajakamatwa

    Kanisa hilo mpaka sasa limezungushiwa utepe wa njano wenye maandishi meusi, likiwa chini ya ulinzi wa polisi na hakuna muumini anayeruhusiwa kusogea, tangu alfajiri ya kuamkia Juni 3, 2025. Juni 2, 2025, Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa alitangaza kulifuta kanisa hilo kutokana na...
  18. Waufukweni

    Jumanne Muliro: Askofu Gwajima akitaka, akate rufaa (rufaa inakatwa kwa Waziri Bashungwa)

    Jumanne Muliro, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam: "Sisi jukumu letu ni kuona kwamba tunaitekeleza ile sheria na kusimamia kuona kwamba kilichoelekezwa [na Ofisi ya Msajili] basi kinatekelezeka na kutekelezwa kwake ni kutoendelea kufanya zile shughuli zilizokuwa zikifanyika...
  19. figganigga

    Polisi wazingira Kanisa la Gwajima la ‘Ufufuo na Uzima’ usiku. Wananchi wajazana eneo la tukio, wagoma kuondoka!

    Dar: Polisi wazingira kanisa la Gwajima la Ufufuo na uzima. Ni taharuki kwa Wakristo Nchini. Je, Nchi inaenda wapi? Kanisa lina kosa gani? Kama kakosea Gwajima angekamatwa Gwajima. Kanisa la Ufufuo na Uzima lipo Duniani kote Msajili kakengeuka. Risasi za moto Kanisani za nini? Chezea Siasa...
  20. Roving Journalist

    Askofu Gwajima: Kuna mtu ameleta barua Kanisani jioni hii, sikuiona amesema atarudi kesho

    Mara baada ya kusambaa kwa Barua mitandaoni iliyodaiwa kuwa imetoka kwa Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa ikihusu kufungia shughuli za Kanisa la Glory of Christ Tanzania (Kanisa la Ufunuo na Uzima), Kiongozi wa Kanisa hilo, Askofu Josephat Gwajima amesema kuna Mtu amefika Kanisani...
Back
Top Bottom