kadi ya kliniki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Zomboko

    Waziri wa Afya awataka Wakuu wa Wilaya kuchunguza hospitali zinazotoza hela ya kadi ya Kliniki

    Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Dk. Dorothy Gwajima amewaagiza wakuu wa wilaya zote nchini kufuatilia mienendo ya watumishi wa afya katika hospitali, vituo vya afya na zahanati wanaokiuka sheria za nchi na utaratibu wa utumishi wa umma kwa kuwatoza wakina mama wajawazito...
  2. Zero IQ

    Mrejesho baada ya kumpeleka mwenza wangu Clinic

    Jana nilikuja na uzi kwamba leo nitampeleka mwenza wangu Clinic kufungua kadi ya mahudhurio na maendeleo ya mtoto kwa sababu ni mjamzito, Mrejesho. Niliomba ushauri wengi waliniogopesha kwenye swala la kupima Ngoma, kweli sikuwahi kuwazaga kama kuna siku nitakuja kupima Ukimwi, Nimeamka...
  3. Kelela

    Kadi ya Mtoto ikichanika, Unaweza Kupata Nyingine?

    Habari za leo! Nauliza kama kadi ya mtoto ya kliniki imechanika kiasi kwamba ni vigumu kuiunganisha, je unaweza ukapata kadi nyingine ili ujaze tena taarifa zake? Na kama inawezekana kupata nyingine, ni hatua zipi za kufuata ili kuipata? Ahsanteni.
Back
Top Bottom