Wanafunzi 62 wa Jimbo la Ole waliofaulu mitihani ya Michepuo wamepatiwa zawadi za motisha zilizotolewa na Mwakilishi wa Jimbo hilo, Seif Hamad Suleiman, katika hafla iliyofanyika Januari 4 Skuli ya Sekondari Ole.
Akizungumza wakati wa utoaji wa zawadi hizo, Mwakilishi huyo aliwapongeza...
Mfanyabiashara maarufu, Zahor Matelephone amejitosa katika mbio za ubunge baada ya kuchukua fomu katika Jimbo la Ole, Pemba.
Zahor ni miongoni mwa viongozi wanaoibuka kwa kasi na kuamsha matumaini ya wananchi wa Jimbo la Ole, akiwa na maono makubwa, aliyekulia katika misingi ya uadilifu, utu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.