jay z

  1. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Kanye West atajwa kuwa Rapper wa pili kuwa bilionea baada ya Jay Z

    Kwa mujibu wa jarida la @forbes, Kanye West ana utajiri wa Dola Bilioni $1.3 na kumfanya kuwa msanii wa Hip Hop mwenye mkwanja mrefu zaidi kwa mwaka 2020. Asilimia kubwa ya mkwanja huo, Kanye West amesema unatokana na biashara yake ya viatu Yeezy sneakers. Awali Kanye West aliwapa Forbes...
  2. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa Hillary Clinton amsifu Jay z kuwa Icon

    Mgombea Urais katika awamu iliyopita Mama , Hillary Clinton, ametoa sifa kwa rapper Jay Z wakati akimtakia heri ya siku ya kuzaliwa. Mwanamuziki huyo wa Mitindo ya kufoka alisherehekea kutimiza miaka 50 siku ya jumatano Desemba 4. Clinton kupitia mtandao wake wa kijamii alimtumia salamu za...
Back
Top Bottom