Matumizi ya javascript yanaendelea kukua kila siku kwa kuwa ndio lugha pekee inayoweza simama pekee yake pande zote mbili yaani frontend na backend aiseh nafikiri uwepo wa node.
JS ni sababu moja kubwa ya javascript kuwa na sifa hii na kuinuka kidedea mara kwa mara. Mimi sina mengi nachangamsha...
Niaje wana Tech..
Kama miezi minne iliyopita nilikutana na hii Javascript Library
Inertiajs
Kidogo ni mpya, ila nikajaribu kuitumia kwa sababu kuu zifatazo
Nilikua na upgrade Projects zangu kutoka Laravel 7 kwenda Laravel 8
Laravel 8 ime ship na package moja nzuri sana inayoitwa Laravel...
Habari wana jamvi, naanza kufundisha javascript programming. Focus kubwa itakuwa katika web development. Utajifunza dynamic web pages.
Gharama ni sawa na bure, utalipia 10,000 na ntafundisha kwa mwezi mmoja. Mfumo wa kufundisha ni whatsapp or telegram kutegemea na mwitikio wenu. Ntaanza rasmi...
Hello bosses,
Kuna kitu kimenikaa sana ngoja nikiseme. Unajua developers wengi wa kiafrica ninaowafahamu wananishangaza sana hasa hasa kwenye upande wa javascript.
Mtu unakimbilia kujifunza frameworks na libraries tu bila kuwa na core knowledge ya javascript. Hii inapelekea watu kupata errors...
Habarini wakuu mimi najifunza javascript japo kuna baadhi ya vitu sivielewi ningependa mnieleweshe muundo wa js kanuni muhimu za js na neno return linatumika vp kufunction code nanjia bora za kujifunza js
Kwa sasa ninajua HTML,CSS
Ahsanten na natumai mtanipa ufunguzi.
Je kama wewe ni full stack javascript developer, MERN (MongoDB, ExpressJS, ReactJS, NodeJS) au una experience na REACT NATIVE with FIREBASE or NODEJS backend, tuwasiliane kupitia namba hizi 0788 826 982.
Uzi huu unaletwa kwenu na
Orb Tech LLC.
Ni muendelezo wa uzi huu Muongozo wa software developer anaeanza part-2
Sehemu hii tutazumgumzia Web based applications.
Kama tulivyoainisha hapo awali hizi ni program zinazotumia internet katika kufanikisha jambo lililokusudiwa mfano Kupatana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.