Bonge wa Zimbabwe mwenyewe alipost picha akiwa na Mama.
Rostam alikiri kununua mgodi wa makaa ya mawe.
Tulitumia VPN na tukawa tunaingia bila tatizo JamiiForums.
Vpn ni salama zaidi kuliko hata hivi mlivyofungua.
Kufuatia zuio lililotolewa Septemba 6, 2025 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikisitisha leseni ya utoaji maudhui nchini humo kupitia Jukwaa la JamiiForums kwa siku 90, member wa JF, Mshana Jr alianzisha uzi...
Wakuu habari zenu, najua tunapitia mengi ila ni afadhali tunapumua...
Unajua hizi siku 90 za JF kupigwa ban na TCRA, Jana nilikaa nikawaza sana… nikasema siwezi kabisa kukaa TZ kimya bila JF. Hivyo jana usiku ikanibidi nifanye safari ya ghafla kwenda Poland kwa jamaa yangu mmoja hivi
Huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.