Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa na kukasirika baada ya Tume ya Chande kutoa ufafanuzi wa Ripoti yao ya matukio yalitokea Oktoba 29, 2025 kusema video za matukio zilikuwa zimechakachuliwa na zakutengenezwa na nyingine nikutoka Gaza.
Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa akisema ni uongo uongo...
Jaji Mkuu Mstaafu Ibrahim Juma, Mjumbe wa Tume ya kuchunguza matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu 2025, amesema hayo leo Aprili 28, 2026 wakizungumza na vyombo vya habari
Jaji Mkuu Mstaafu Ibrahim Juma, Mjumbe wa Tume ya kuchunguza matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu 2025, amesema hayo leo Aprili 28, 2026 wakizungumza na vyombo vya habari
Akiongea kwenye Mkutano wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Kabla na baada ya uchaguzi Mkuu Oktoba 29, Jaji Juma amesema kuwa kuna watu hawataki maoni ya watu wengine yasikike, baada ya kutoa ripoti wamepokea matusi zaidi ya 300.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.