jaji juma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo awavaa vikali Jaji Chande na Jaji Juma kusema video za Oktoba 29 ni za Gaza! Acheni uongo!

    Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa na kukasirika baada ya Tume ya Chande kutoa ufafanuzi wa Ripoti yao ya matukio yalitokea Oktoba 29, 2025 kusema video za matukio zilikuwa zimechakachuliwa na zakutengenezwa na nyingine nikutoka Gaza. Bongo Zozo ameonyesha kusikitishwa akisema ni uongo uongo...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania Jaji Juma: Kuna watu wanaokosoa bila kuwa na uelewa. Wanategemea wengine wawe wamechanganua, wanafuata wanayoyasema

    Jaji Mkuu Mstaafu Ibrahim Juma, Mjumbe wa Tume ya kuchunguza matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu 2025, amesema hayo leo Aprili 28, 2026 wakizungumza na vyombo vya habari
  3. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Juma: Kuna Matukio ambayo tuliletewa kama ya Oktoba 29 lakini wataalamu wakaonyesha video zimechakachuliwa ni za Gaza

    Jaji Mkuu Mstaafu Ibrahim Juma, Mjumbe wa Tume ya kuchunguza matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu 2025, amesema hayo leo Aprili 28, 2026 wakizungumza na vyombo vya habari
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Juma: Baada ya Ripoti Kutoka, tumepokea simu za matusi zaidi ya 300

    Akiongea kwenye Mkutano wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Kabla na baada ya uchaguzi Mkuu Oktoba 29, Jaji Juma amesema kuwa kuna watu hawataki maoni ya watu wengine yasikike, baada ya kutoa ripoti wamepokea matusi zaidi ya 300.
Back
Top Bottom