inauzwa

  1. Computer4Sale Dell laptop inauzwa

    Hellw nauza dell laptop. Specifications: Intel core i-5 ,5th Generation ,2.2Ghz 500 HDD,8 GB RAM Windows 10 64 bit Supports USB/HDMI/Wifi/webcam/ethernet/aux jack 14" HD display Contacts:0759-124378 Price:950,000/-
  2. INAUZWA Bajaj inauzwa, Mwanza

    Hii hapa inauzwa kwa bei nafuu Mahali, Buhongwa mwanza haina shida yoyote. milioni 4 tu 0713096076
  3. INAUZWA Projector, TV, Frijina na water dispenser vinauzwa

    Maximum resolution 1080P.......light source LED.....Bult - in dual speaker,.....Aspect Ratio 4:3/16:9.......Projection Size 34 - 180 inchies....Connector suport.HDMI,USB,VGA,AV,TF,AudioNi brand new Projectort full boxIpo na beg BEI 400,000/= 0688942700 piga simu
  4. Car4Sale Nauza gari aina ya IST

    Manufacturer: TOYOTA Model: IST Year - 2002 Engine Size: CC 1490 Mileage: 154991 Transmission: Automatic Colour: Grey Fuel: Petrol PRICE / BEI: Tsh.8.8 Mil ( Milioni 8 na laki 8 ) MAWASILIANO : ᴄᴀʟʟ ı ᴡʜᴀᴛsᴀᴘᴘ ı ѕмѕ: +255658090789
  5. INAUZWA Technics SA-DV280 Music system inauzwa

    Bei ni 190000 0625547181 haina kasoro
  6. Phone4Sale Nauza simu aina Samsung Galaxy A22 GB 128

    Nauza simu aina Samsung galaxy A22 gb 128 Ishatumika miezi miwili bei waelewano Napatikana kwa mawasiliano namba 0762435688 Napatika bagamoyo
  7. W

    House4Sale Nyumba inauzwa Chanika

    Dalali_wa_ kuuza_ nyumba. NYUMBA_INAUZWA Chanika_Lubakaya _____________________________ NYUMBA INAVYUMBA VINNE VYA KULALA NA CHUMBA KIMOJA NI MASTER BEDROOM _____________________________ # Sebule kubwa # Dining room # Jiko la kisasa # Public toilet # Kisima kipo # Full tiles na gypsum #...
  8. House4Sale Nyumba ya kisasa inauzwa

    Wakuu, nyumba nzuri sana na kiwanja ni kikubwa inauzwa Kiwanja kina 2095m² na kina hati (yaani ukubwa wa eneo ni skwea mita elfu mbili na tisini na tano) BEI: Tshs. 250,000,000 (milioni mia mbili na hamsini) maongezi yapo Nyumba(eneo) ipo Madale kwa Mathias kwa mawasiliano nipigie...
  9. T

    INAUZWA Pikipiki inauzwa

    TVs star 125 no C ipo katika hali nzuri. Engine safi haijafunguliwa. Kadi halali IPO Bei:1050000 0624474871 IPO Mbagala
  10. Car4Sale Suzuki carry (kirikuu) inauzwa. Iko kinyerezi Dar

    Haina tatizo lolote. Gari ya kuwasha na Kuondoka baada ya Malipo. Bei 4.million Net. Dalali unanipa elfu 15 tu ya Bando la Mwezi. wahisha biashara achana na comments 0713096076
  11. House4Sale Hostel inapangishwa/ inauzwa

    Kwa UNYENYEKEVU mkubwa nawahabarisha kwamba Hostel Vyumba 14 inapangishwa/kuuzwa Eneo Malimbe: Mwanza Chuo Cha SAUT Bei: Milioni 6 tshs kwa mwaka Kupangishwa / Milioni 180 tshs kuuza (mauzo yanajumuisha na nyumba ya kuishi ya vyumba 3) Mawasiliano: 0719002081(whatsapp).
  12. INAUZWA Phone Enlarger inauzwa

    Inakuza kioo Cha Simu Haitumii betri Wala umeme Bei 12000 tuu 0757402662
  13. INAUZWA Bajaji inauzwa Kilimahewa, Mwanza

    Bajaji haina shida yoyote Karibu 0713096076 Kilimahewa, Mwanza Bei: 3 milioni tu mil only.
  14. Car4Sale BMW 525i inauzwa

    Ina cc2400 Imetembea 108000km Bado iko katika hali nzuri. Inapatikana tegeta DSM. Bei 12.5 ml Call +255 769 118 686
  15. Computer4Sale Laptop aina mbalimbali zinauzwa

    HP MIN LAPTOP 300,000/= TU INa RAM 2 GB HDD 160 SCREEN SIZE 10.1 Refuerbished Ina Kaa na charge Masaa 10 Call Me 0716889489
  16. Computer4Sale Dell Latitude 7420 "14 (2021) inauzwa

    USED FROM UK VERSION DELL LATITUDE 7420 "14 (2021) 3GHz Intel Core i7 4-Core (11th Gen) 16GB Of LPDDR4xRAM |256GB M.2 SSD "14 1920×1080 IPS - Type WVA Display Intergrated Intel Iris Xe Graphics Micro SD Card Slot USB 3.2 Gen 1 | Thunderbolt 4 | HDMI 2.0 FULL HD IR WEBCAM Fingerprint...
  17. House4Sale Nyumba inauzwa

    Kwa wanaopenda makazi yaliyo karibu na barabara kuu hii inawafaa zaidi. Nyumba ipo Gongo la mboto(Kwalala). Bado ina eneo na bei ni nafuu kabisa. Tsh 35,000,000. Karibu kwa mazungumzo. Call 0755519358
  18. M

    Car4Sale Land Lover Defender inauzwa

    Cc 3000 Diesel Bei 16,000,000 Ipo Dsm Temeke Mawasiliano 0673728756 Weka Mafuta
  19. A

    INAUZWA Nyumba inauzwa maeneo ya Tabata TOT ila Gari haliingii

    Habari wana jamii?? NYUMBA INAUZWA IPO maeneo ya tabata TOT ila Gari haliingii ndani mpaka katikaeneo la NYUMBA NYUMBA Ina vyumba vitatu na jiko na uwanja ulio baki Ni huo unaouona katika picha ninyumba ya kupangisha. Beii milioni 15. Mazungumzo yapo. Kwa mawasiliano 0766244848
  20. Gari Hilux inauzwa

    Nauza gari, yenye namba usajili B. Gari ipo kijichi Dar. Gari haina shida yoyote. Bei ni 23M. Kwa mawasiliano na maswali zaidi piga 0769917961. Asante
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…