imani ya dini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kmbwembwe

    imani ya dini iliwahi kupigwa vita na wasomi ulaya mabepari wakipinga

    Katika historia ya ulaya enzi ya utawala wa Roma ukristo ulienea na kuweza kua na nguvu kubwa kwenye maisha ya watu. Sheria za kanisa zikawa na nguvu kwenye utawala na wafalme au watawala wasingeweza kuongoza bila kukubaliwa na kanisa. Ukristo ukawa na nguvu hadi kupeleka jeshi mashariki ya kati...
  2. Last_Joker

    “Kuondoka Kwenye Imani ya Dini: Kutoroka Mfungo au Kukosa Uelewa?”

    Kuna kipindi kijana anakua kwenye familia ya dini, amelelewa vizuri, kila Jumapili au Ijumaa yupo kanisani au msikitini, anajua kusali, anajua kusamehe, anajua kujizuia na makatazo ya imani… lakini ikifika miaka ya 20s, game inabadilika. Ghafla unamkuta yuko TikTok akisema “Mimi sio mtu wa dini...
  3. Alloyce PR

    Imani ya dini vs. Afya ya akili

    "Kuna mstari mwembamba sana kati ya imani ya dini na changamoto ya afya ya akili, wakati mwingine mtu anaweza kuonekana kuwa na imani timilifu, lakini ndani yake anapambana kimya kimya na msongo wa mawazo au huzuni . Ni muhimu kujichunguza au kuyatathimini mahubiri kabla ya kufuata mkumbo ." —...
  4. Fbn

    Mfanyakazi wa ndani raia wa India anyongwa UAE kwa mauaji ya mtoto mchanga

    Kuna malalamiko ambao mfanyakazi kutokuwa na hatia lakini wameamua kumnyonga ambaye ambaye hata familia yenyewe imelalamika kuwa sio yeye. Imani ya wa isalamu ndio inatajawa kuwa imani yenye sheria mkononi sana yenye mafundisho binafsi ambayo yenye chuki kuanzia ngazi zote bila kuweka...
  5. Mindyou

    Picha ya miaka 1500 inayoaminika kuwa ni ya Yesu yapatikana huko nchini Syria

    Wakuu, Katika mji wa kale wa Hierapolis nchini Syria, picha ya ajabu ya uso wa Yesu Kristo imefunuliwa, inayojulikana kama "Keramion." Kipande hiki cha kipekee cha sanaa kinatokea katika enzi za mwanzo za Ukristo na inakadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 1,500. Hadithi zinaeleza kuwa...
  6. hitler2006

    Kotukuamini dini haimaanishi siamini katika uwepo wa Mungu

    Kuna dhana imejengeka kwa watu wengi na sasa inaelekea kuwa ndo ilivyo Utakutana na mtu akishakuuliza jina tu basi na jibu la imani yako anakua nalo! Sasa kuna hawa wengine wanao amini kama humuabudu allah wala God/jesus wewe basi huna mungu. Kiasili mwanadamu awaye yote yule ni lazima...
  7. Yoda

    Mpira bongo ni kama imani za dini za manabii wa kisasa, hakuna kitu tofauti utawaambia watu wakakuelewa.

    Kwa jinsi mashabiki wa mpira hapa bongo walivyojitolea maisha, akili, hisia, muda na rasilimali zao katika mpira kwa hakika tunaweza kusema mpira ni zaidi ya dini. Watu wanalala na kuamka wakizungumza mpira, wanashinda wakizungumza mpira. Jana mchana kwenye East Africa radio kuna kundi la wana...
  8. Maleven

    Nimepoteza imani katika dini ingawa bado ninahofu kuwa napotea

    Yani kwa sasa mtu akisema anaenda kwenye nyumba ya ibada namuona kama “old school” mtu anaeishi maisha ya kusadikika, Bado naamini kuna Mungu ila Mungu huyo hahitaji ibada wala hana habari na sisi, hakuna moto wala pepo. Dini zote naona ni kama vikundi vinavyojinasibisha tu lakini hakuna...
Back
Top Bottom