Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini, Ibrahim Mohamed Shayo (maarufu kama Ibraline), ameishukuru na kuipongeza Serikali kwa kuimarisha uhusiano wa kibiashara na utalii kati ya Urusi na Tanzania kupitia ufunguzi wa ruti mpya ya ndege.
Katika maelezo yake kuhusu fursa hizo zilizotokana na ushirikiano...
Mgombea Ubunge Jimbo la Moshi Mjini , kupitia chama cha Mapinduzi (CCM), Ibrahim Shayo amezungumza na Wananchi katika ufunguzi wa Kampeni za ubunge wa jimbo hilo uliofanyika katika Uwanja wa Mandela Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi.
Ibrahim Shayo maarufu kama Ibraline ametoa ahadi mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.