Homa ya Ini (Hepatitis) ni Ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya aina mbalimbali. Virusi vinavyosababisha Homa Ya Ini vipo katika makundi matano: A, B, C, D na E
Maadhimisho ya Mwaka 2022 yamejikita katika uhitaji wa kuleta Huduma za Homa ya Ini karibu zaidi na Vituo vya Afya na Jamii ili...
Kuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe
Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya.
Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani.
Sasa huyu...
Hepatitis b (Homa ya Ini) ni maambukizi ya virusi kwenye Ini(Liver) .
Ini likiambukizwa hatuna matibabu kamili na yakueleweka Tanzania. Hepatitis (Homa ya Ini) imekuwa tishio kwa miaka hii na hasa kwa vijana.
JINSI HOMA YA INI INAVYOENEA
1.Ngono isiyo salama
2.Kuchangia nguo(Jasho na maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.